TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,421
- Thread starter
- #21
nikweli kabisa na nikamuuliza kwanini inakua hivi na ukiingia kwenye mobile yao unakupa data tofauti kabisa kwenye mobile app wanadai baada ya mwaka wanakupa milion 40% 2,160,000 baada ya kodi.Japo bank ni wanyonyaji ila nahisi umechanganya madesa.
Milioni 40 kweli wakupe faida laki 2 na 40 kweli
Nahisi kuna sifuri umeisahau, ni milioni 2 na laki 4 ndiyo walipaswa wakupe.
Japo nayo ni ndogo sana kwa milion 40
majibu aliyonipa baada ya kuhojii wanadai wanatoa riba kubwa iwapo wanataka pesa kwasasa pesa zipo.