Fixed deposit kwa sasa hazina faida tena

Japo bank ni wanyonyaji ila nahisi umechanganya madesa.

Milioni 40 kweli wakupe faida laki 2 na 40 kweli

Nahisi kuna sifuri umeisahau, ni milioni 2 na laki 4 ndiyo walipaswa wakupe.

Japo nayo ni ndogo sana kwa milion 40
nikweli kabisa na nikamuuliza kwanini inakua hivi na ukiingia kwenye mobile yao unakupa data tofauti kabisa kwenye mobile app wanadai baada ya mwaka wanakupa milion 40% 2,160,000 baada ya kodi.

majibu aliyonipa baada ya kuhojii wanadai wanatoa riba kubwa iwapo wanataka pesa kwasasa pesa zipo.
 
habari wakuu leo nimeenda bank branch ya nmb nikawaomba wanifanyie hesabu ya milion 40 kwa muda wa mwaka wanadaia hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida

sasa just imege unawapa milion 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubilie 240k si wizi huu
Ni zaidi ya uwizi...
 
nikweli kabisa na nikamuuliza kwanini inakua hivi na ukiingia kwenye mobile yao unakupa data tofauti kabisa kwenye mobile app wanadai baada ya mwaka wanakupa milion 40% 2,160,000 baada ya kodi.

majibu aliyonipa baada ya kuhojii wanadai wanatoa riba kubwa iwapo wanataka pesa kwasasa pesa zipo.
tatizo la mtoa mada na watu wengi ni kuwa unataka kufanya biashara kwenye biashara ya watu. Mchongo wa Fixed account in biashara ya benki na sio ya anae deposit.

Play your own game.
 
Unataka uongeze kwenye biashara ya kukopesha mama ntilie hapo kalolen
Na ndio lengo mkuu.
mpaka sasa nakusanya mapato kwa hao hao kina mama ntilie.
NIMEPUNGUKIWA MTAJI
IMG_20220627_202333_102.jpg
 
Habari wakuu

Leo nimeenda bank branch ya NMB nikawaomba wanifanyie hesabu ya milioni 40 kwa muda wa mwaka, wanadai hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida

Sasa just imagine unawapa milioni 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubirie 240k si wizi huu!
Wewe ni muongo mkuu. Fixed rate ya mwaka ni 7%. Milioni arobaini kwa mwaka unapata milioni mbili na laki nane. Wakikata withholding tax unapata milioni mbili laki tano na elfu ishirini Kama riba
 
Wewe ni muongo mkuu. Fixed rate ya mwaka ni 7%. Milioni arobaini kwa mwaka unapata milioni mbili na laki nane. Wakikata withholding tax unapata milioni mbili laki tano na elfu ishirini Kama riba
mkuu sijuii unapata wapi ujasili wakuniambia mm muongoo wakati izo data nimezipata sehemu husika

embu fanya mapngo nenda kaulize bank
 
Habari wakuu

Leo nimeenda bank branch ya NMB nikawaomba wanifanyie hesabu ya milioni 40 kwa muda wa mwaka, wanadai hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida

Sasa just imagine unawapa milioni 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubirie 240k si wizi huu!
Wa ajabu sana hawa NMB. Dawa yao hao ni kuweka bilioni 40 ili upate milioni 240!
 
Back
Top Bottom