Nimefanikisha, nina akaunti mbili, ili kuuza skills mbili tofauti (Electrical Engineering, kama ramani, Electronic Services kama logo design ).
Vípi nawezaje kujiuzia bila kula ban ili nipate reviews.
Pia hapo fiver nafanya test ili kuwa verified kwenye baadhi ya skills na experience, mfano, nimepata 6.2/10 katika Customer Care test, nimeongezewa kama verified skill.
Naomba usichoke kunielekeza namna nzuri ya ku improve kwenye hizi online jobs maana ndio soko la ajira la sasa na la kesho.