First Date

Ha ha ha ulikuwa wapi siku zote hizi kutoa hii kitu?Safi sana jamaa katumia akili yake vizuri
Mzee ulishakutana na kitu inakaribiana na hii nini? Next time fanya kama jamaa Hah hah
 
Hiyo kali maana kuna mshikaji mmoja alikuja toka Zim akafanya kama hayo pale mitaa ya Jolies. Inafurahisha maana hawa dada zetu wajanja mdomoni tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…