Christina George
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 673
- 783
Mbwembwe tuu hizo unatakiwa kujiamini na kuwa muwazi kwa mipaka yako sio unashikwa shavu naww unachekelea kumbe mwenzio anapima atatumia mda gani kufanikiwa kukukula. Uko cheap au unajielewa!! Sasa wee sogezewa mdomo first date afu ufumbe macho.