Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,230
- 10,201
Wakuu JF Amani iwe Nanyi
Kutokana na Matukio yaliyokithiri ya watu Kumwagiwa Tindikali, na kwa kuwa hatujui nini kitatutokea.
Kwa wale ambao wanajiona wako Vulnerable kumwagiwa ACID (Kumwagiwa Acud Prones),
Nimeona ni Bora Nije na Kaushauri kadogo ambako kanaweza kuwa Msaada katika kujipatia Huduma ya Kwanza.
Kwa vile tunajua (From Chemistry) kuwa Tindikali (Acid) ikichanganywa na Base (Alikali) Matokeo huwa Chmvi na Maji.
Hii ni Property ya Acid na Base.
Mathalani, Hydrochrolic Acid (HCL) ikichangnywa na Sodium Hydroxide (NA0H), Zao huwa ni Maji (H20) na Sodium Chroride, Chumvi (NACL)
Hivyo Basi, Muda umefika sasa wa kuanza kutembea na kikopo cha alkali,ukimwagiwa tindikali na wewe unai-neutralize kwa kujimwagia kidogo!
Kutokana na Matukio yaliyokithiri ya watu Kumwagiwa Tindikali, na kwa kuwa hatujui nini kitatutokea.
Kwa wale ambao wanajiona wako Vulnerable kumwagiwa ACID (Kumwagiwa Acud Prones),
Nimeona ni Bora Nije na Kaushauri kadogo ambako kanaweza kuwa Msaada katika kujipatia Huduma ya Kwanza.
Kwa vile tunajua (From Chemistry) kuwa Tindikali (Acid) ikichanganywa na Base (Alikali) Matokeo huwa Chmvi na Maji.
Hii ni Property ya Acid na Base.
Mathalani, Hydrochrolic Acid (HCL) ikichangnywa na Sodium Hydroxide (NA0H), Zao huwa ni Maji (H20) na Sodium Chroride, Chumvi (NACL)
Hivyo Basi, Muda umefika sasa wa kuanza kutembea na kikopo cha alkali,ukimwagiwa tindikali na wewe unai-neutralize kwa kujimwagia kidogo!