Fire alarm system

Fire alarm system

Joined
Oct 10, 2020
Posts
14
Reaction score
16
KUTOKANA NA ONGEZEKO LA SHULE KUTEKETEA KWA MOTO
Royal security solutions tumekuja na teknolojia ya kudhibiti kabisa tatizo la mabweni kuteketea kwa moto kila kukicha ..
Janga hili limekuwa likiongezeka na kuarifiwa kwenye sehemu mbalimbali za nchi yetu kila kunapokucha .
Royal security solution tumekuja na mfumo wa Fire Alarm system ambao utatoa taarifa mapema kabisa kabla hata moto kuwaka .

Mfumo huu utakuwa unahisi aina yoyote moshi au ongezeko la joto katika eneo husika . Kiwango cha carbon , joto, na moshi vitaashiria kuwa kuna hali ya hatari.
Mfumo huu umeunganishwa na king'ora pamoja na taa ya strobe ambavyo kwa pamoja vitawaka na kuashiria hali ya hatari kabla hata ya moto kuwaka.
Karibu tulinde mabweni ya wanafunzi, nyumba zetu ofisi , viwanda , stoo pamoja na maeno ambayo yana hatari ya kupatwa na moto..


ROYAL SECURITY SOLUTIONS
0710201330
Mbezi beach ,Makonde
DAR-ES - SALAAM


PSX_20201012_141623.jpg
 
CCTV CAMERA TANZANIA - 0710201330

Imarisha ulinzi wa eneo lako kwa kufunga mifumo imara ya uangalizi wa cctv camera .
Unaweza kufunga nyumbani , ofisini, shule , hospitali, kiwanda , eneo la mradi na godauni .
Tuna camera zenye uwezo mkubwa wa kukupa picha angavu mchana na usiku . Camera zina uwezo mkubwa wa kutambua kila kitu ikiwemo ni pamoja na namba za magari kwa usahihi pamoja na sura ya mhusika .
Pia utakuwa na uwezo wa kuangalia camera zako ukiwa sehemu yoyote Duniani kwa kutumia simu yako ya mkononi .
Tuna tumia bidhaa zinazoaminiwa Duniani kote aina ya HIKVISION .

KARIBU TKUFANYIE KAZI BORA NA SAFI KWENYE ENEO LAKO .
PIA TUNAUZA NA KUSAMBAZA VIFAA VYOTE VYA MIFUMO YA CCTV CAMERA KWA BEI NAFUU KABISA

0710201330
PSX_20201011_092823.jpg
PSX_20201011_102245.jpg
PSX_20200920_160325.jpg
 
OFFFER OFFFER OFFFER
Pata cctv camera ya bulb sasa kwa uangalizi wa eneo lako.
Camera hii ina sifa zote za kukufanya uitumie katika eneo lako .
Bulb Camera 360 WIFI
1080P Full HD,Support SD card
Motion detect,Mobile view
Support Voice,Push to talk
2way communication
Come with roof holder
Price 90,000 Tsh
0710201330
wahi sasa mzigo upo wa kutosha .. punguzo lipo kama utakuwa tayari kuchukua

Kariakoo( Azam)
IMG-20201119-WA0328.jpg
 
Kuna sehemu nilifanya kazi, ghafla bin vuu, bulb zote zikabadilishwa, nilihisi zilikuwa na camera, kumbe hisia yangu ilikuwa sahihi maana zilikuwa na design Kama hizo ilizoleta.
 
PTZ wireless camera - Hii ni camera inayojizungusha mahususi kwa ajili ya ulinzi na usalama wa eneo lako kama biashara au nyumbani.
ina uwezo wa kuzunguka na kuona pande zote kwa picha angavu kabisa usiku na mchana
Ina ona kwa 360° degree
Inarecord hadi sauti
Ina sehemu ya kuweka memory card kwa ajili ya kutunza kumbukumbu.
Ukiweka kwenye chumba kama sitting room inauwezo wa kuona chumba kizima kwa mduara 360°degree.
ina uwezo wa kuhisi kituchochote kinachojigusa na kunasa tukio vzr
Unauwezo wa kuona kwenye simu yako ukiwa popote ndani au nje ya tanzania

Bei ni 150,000tsh
Call0756 330 743

TUPO MAKUMBUSHO . STAND YA DALADALA
IMG-20210303-WA0013.jpg
View attachment 1716926
 
BILL COUNTER MACHINE
MONEY COUNTER MACHINE / MASHINE YA KUHESABIA HELA
Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services
Upgrade ofisi yako iwe ya kisasa zaidi kwa kujipatia hii mashine ya kuhesabia hela ili uweze kuwahudumia wateja wako kwa haraka na ufanisi mkubwa

Mawakala wa Mpesa, Tigopesa etc hii sio ya kukosa kwenye ofisi zenu
Hii itakusaidia kugundua noti feki, hela zilizochanika na ambazo zipo katika hali mbaya

Ni rahisi sana kuitumia, na itaifanya ofisi/biashara yako iwe ya kisasa zaidi na utendaji kazi utakuwa wa ufanisi zaidi

BEI: 350,000/=


TUPIGIE
0756 330 743
TUPO MAKUMBUSHO BUS STAND
delivery dar mikoani tunatuma


Screenshot_20210302-113336.jpg
View attachment 1717153
 
Back
Top Bottom