Ameenda kutangazia watanzania msimamo wake na kuweka wazi madudu ya Chadema yanayopikwa na Mbowe....Kaeni tayari..makorokocho ya mbowe yanawekwa bayana
Karibu nyumbani baba. Yaliyokupata yanatosha. Wamekudhalilisha,wamekudharau,;kwa ujumla umepondeka na kuzimia roho. Kweli pesa hupovusha macho na kuondoa uwezo Wa kufikiri.