SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
- Thread starter
-
- #21
Usikose kuitazama ufurahie usiku wako.Thanks kwa kushea kaka..nimepitia kwenye hii app yangu nashukuru nimeikuta ngoja nitaipakua kisha nitaleta mrejesho.
Pamoja chief..najua hukoseagi.
Aaaah kabisa. Nafanyia kazi session 04. Kaa mkao wa kula.Pamoja chief..najua hukoseagi.
Naona umeinyaka Netflix mzee.... hahaPamoja sna kiongozi narudia tna wengine ndio ulevi wetu huu... View attachment 1431464
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, nawaza hii movie 😒
Sana mkuu. Hii filamu imekaa kifalsafa sana. Ina ujumbe mkubwa mno chini yake. Ni filamu ya kufikirisha iliyotumia akili kubwa sana. Na ukitulia kuitazama unaiona jamii katika kila pembe kama vile kiimani, kisayansi na kiitikadi.SteveMollel mtunzi wa The platform aliwaza nini? Aisee ni bonge moja la movie,Goreng na Baharat, wamejitahidi kuweka usawa lakini wapi..hii movie ni ambiguous Sana...nadhani mtunzi kuna kitu alitaka tukitafute wenyewe hasa jinsi alivyoimaliza hii movie..ni utata hasa!
Hata hivyo najiuliza kama Goreng aligundua levels ziko 333 na kila level ina wafungwa wawili it means wako 666 hii namba kiimani (Christians) ikoje? Kuna jambo hapa..japo nahisi mtunzi alimvika Goreng cheo cha Jesus may be aliyejitoa kwa ajili ya wengine..bado nimebaki na maswali mengi kuliko majibu..i recommend kila mtu aitizame hii movie itabadili mtizamo hasa kwenye maisha tunayoishi.
Ahsante sana mkuu. Kweli inastahili.Sina wasiwasi na mahamuzi yangu!
The platform
Ni filamu yangu Bora ndani ya miaka 2 wakuu
Ahsanteni
Yule mama ndo alisema kuwa chakula kinawatosha wote mule ndani kama wakiwa na utaratibu na yeye alikuwa akiyajua yote hayo baada ya kuwafanyia kazi utawala.Mkuu hii movie niliichek last week kifupi ni kweli ime reflect jamii yetu kabisa yani unamkumbuka yule mama aliyeingia na mbwa yeye nadhani ndiye aliyeanzisha walau kuwe na utaratibu wa kula kile chakula
Thanks bro tuleteee burudani mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hiyo uliyonayo ina original version language Spanish?Nakushukuru sana,nimedownload movie Kama mbili na hii IPO,kinacho nishindwa kuweka subtitle,kila nikiweka kabla ya kudownload nikija kuangalia baadae hakuna
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia pc au simu?Nakushukuru sana,nimedownload movie Kama mbili na hii IPO,kinacho nishindwa kuweka subtitle,kila nikiweka kabla ya kudownload nikija kuangalia baadae hakuna
Sent using Jamii Forums mobile app