Fikra zangu kuhusu biashara ya printing

Mzurulaji

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2021
Posts
295
Reaction score
695
Nina wazo la kufungua kampuni ambayo itakuwa inajihusisha na printing,

Kwa sasa nafanya huduma ya printing napatikana dar es salaam.kwa kwa kuprint vikombe, chupa t-shirt mifuko ya kufungua bidhaa n. k

natamani nipate sapoti yenu nyinyi ili muniwezeshe kijana wenu kufanikiwa kufungua kampuni jambo ambalo litawapa ajira watu wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…