Fikra pevu tu ingia hapa

Itategemea na kiasi cha maji yanayoingia na kutoka. Kama maji yanayoingia ni mengi kuliko yanayotoka basi itaanza kujaa namba Moja. Lakini kama maji yanayoingia ni sawa na yanayotoka basi litaanza kujaa namba nne!

Yote hayo itagemea endapo hizo container zimefungwa. Kama hazijafungwa basi namba nne ikijaa maji yataanza kumwagika na mengine yote hayatajaa.
 
namba 3, likishajaa ndipo namba 4 litaanza, kwenye physics, pressure in liquid, ila haliko direct so ni vigumu kugundua
 
Litaaza namba 1 likijaa yatililika kwenda namba 2. Mwisho namba tatu na nne
 
Umejibi kitu ambacho hakuna mtu alikuwa anakifikiria
 
namba 3 itajaa kwanza. ukichunguza hiyo pipe inayopeleka maji namba 4 utagundua kwamba levo ya maji kwenye namba 3 itakua sawa na level ya maji kwenye pipe. kwaio ili namba nne ipate maji sharti namba 3 iwe na maji level ya mwisho ya pipe imwagayo maji kwenye namba 4.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…