Fikra kwamba Masomo ya Sayansi ni Magumu Ni ya kweli??

bryan2

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
3,323
4,678
Kuna fikra zimejengeka miongoni mwetu kwamba Masomo ya Sayansi ni Magumu ni ya kweli?

Unakuta mwanafunzi kuanzia darasa la kwanza anajua kuwa Hesabu ni Ngumu hivyo anakua anasoma basi na yote inatokana na Maneno aliyowahi kuyasikia kutoka kwa watu wanaomzunguka, Mwanafunzi anaenda kidato kwa kwanza tayari keshaweka kwenda ubongo wake kuwa Masomo ya Sayansi ni Magumu sana na anaanza kukwepa Vipindi vya Masomo ya Sayansi kuanzia akiwa kidato cha kwanza,

Nakumbuka Advance level kuna wanafunzi walikuja shule kusoma masomo ya Sayansi ila maneno tuliyokutana nayo kutoka kwa wanafunzi wa mbele yetu yalikuwa ni ya kukatisha tamaa hapo hata vipindi havijaanza matokeo yake baadhi ya wanafunzi walihamia mchepuo wa Sanaa na hata waliobaki walikuwa wanasoma kwa Hofu kubwa sana tayari walishajenga woga,

Ukijaribu kuangalia pia masomo ya sanaa yana ugumu wake Njoo vitu kama Ngeli,Uambishaji,uchambuzi wa vitabu, Tenses, Mofimu, Kirai, kishazi, Syntax, ...nk

Kwa uhalisia je ni kweli Masomo ya Sayansi ni Magumu au ni Fikra ambazo wamejijengea,Na pia kukosekana Sera madhubuti kuhusu Sayansi Anzia Vitendea kazi mpaka Walimu?
 
MKUU SIO KWAMBA KUNAFIKIRIA .. MASOMO YA SAYANSI NI MAGUMU NAYANAYOITAJI UWEKEZAJI MKUBWA SANA .....OTHERWISE TUTAKALIA KUPIGA BLA BLA ZA SIASA LAKIN WATOTO WATAZIDI KUFELI KWENYE MASOMO HAYA ...MAENDELEO YA TEKNOLOJIA KWA WENZETY HUKO HUSAIDIA PIA UWEPO WA MAENDELEO YA MASOMO YA KISAYANSI ....SASA HAPA KWETU HATA WALOSOMA SAYANSI HAWAJAWAHI KUJA NA KITU KITAKACHOSAIDIA KULETA MABADILIKO KTK MASOMO HAYA ....TUTEGEMEE NINI ???

Nakumbuka mwaka mmoja kuna swali liliuliza ...physics.... Eti ni kwann malori ya mafuta yanakua na kimnyoror ambacho hugusa lami wakati likiwa katika mwendo ?? Nann umujim wa kimnyororo iko ????

SASA WAKUU MTOTO WA KIJIJINI AMBAYE HANA VITABU ..SHULE HAINA MAKITABA ..HAJAWAHI KUONA GARI LA MAFUTA YA PETROL... HAJAWAHI KUONA LAMI ......MWISHO KABISA HAJUI IKO KIDUDE HUWA KINAKAA WAPI !!! UNADHAN ATAJIBU ILO SWALI ?????.

n.b ...nmesoma tu KICHWA cha habari nikamua kuchangia .
 
Umeeleweka Mkuu nahisi bado hakuna nguvu kubwa iliyowekwezwa kwenye masomo ya Sayansi.
Mfano hai unamaliza ordinary level hujui hata Bunsen burner,pipette/labaratory apparatus halafu umefaulu advance Sayansi unafika kule unaanza kujifunza upya tena.
 
Ni kweli ni ngumu, mimi niliikimbia,ila wanangu atasoma sayansi kwani wanapensa na huwa nawaambia sio ngumu
watengenezee mazingira asee toka chini ....nahayo yawe ni private mazingira lkn km utangoja public mazngra ..hahahahhahaha siku moja mwanao aturudi Om na kitabu cha histori alafu anakwambia "" Aggynasa Historian nisomo rahisi sana nalipenda kupita yote "" hapo ndo utajua nikwann mkolon alituletea historian kwanza wakati kwao kulikua na viwanda ..mahospital...silaha Kali Kali.
 
Nilikuwa naihanya PHYSICS K ama mama mkwe kingine kinachochanganya lugha unatoka primary kiswahili unaingia secondary kingereza yaani blaa blaa tu wabadili mfumo kwanza kama ni kiswahili basi mpaka secondary kama ni kiingereza basi mpaka secondary
 
Ni kweli ni ngumu, mimi niliikimbia,ila wanangu atasoma sayansi kwani wanapensa na huwa nawaambia sio ngumu
Safi mkuu kwa kuanza kuwaandalia msingi mapema vijana Nahisi hapo kuna Dr,Pilot na Engineer,Kila kitu kinawezekana cha msingi wazianze kuchafuliwa mapema kwamba Sayansi ni Ngumu,Shule nzuri zenye walimu bora watafanya vizuri tuu
 
Nilikuwa naihanya PHYSICS K ama mama mkwe kingine kinachochanganya lugha unatoka primary kiswahili unaingia secondary kingereza yaani blaa blaa tu wabadili mfumo kwanza kama ni kiswahili basi mpaka secondary kama ni kiingereza basi mpaka secondary
mambo ya Pendulum,Linear expansivity ile ya olevel inaenda Advance Practical utasikia 2minutes remain hujafanya swali hata moja.
 
Bado tuna safari ndefu,mtu amesoma saysnsi hadi form VI, test tube hajawahi kuiona kwa macho zaidi ya mchoro ubaoni na kwenye vitabu, akitoka hapo anakwenda kusomea ualimu, vyuo navyo havina maabarà wanasoma theory, Mgosi wa kaya anataka kuwaajiri hawa eti walimu wa sanaa ni wengi !! Mbona sayansi yenyewe nayo inasomwa ki-arts huko mashuleni ?!! Ndio maana kandarasi kubwa zinafanywa na wageni kutoka China,
 
Ndio kweli ni magumu.. mfano mwalimu anakuja darasani anachora bunsen burner, unajua labda ni bonge la mtambo... siku ukipata chance ya kusomea practicle wakati wa mitihani.. unashangaa kukuta kadude kenyewe kadooogoo
 
Ndio kweli ni magumu.. mfano mwalimu anakuja darasani anachora bunsen burner, unajua labda ni bonge la mtambo... siku ukipata chance ya kusomea practicle wakati wa mitihani.. unashangaa kukuta kadude kenyewe kadooogoo
hahahaha mkuu umegusa kule kule nlidhani ni jenereta
 
Bado tuna safari ndefu,mtu amesoma saysnsi hadi form VI, test tube hajawahi kuiona kwa macho zaidi ya mchoro ubaoni na kwenye vitabu, akitoka hapo anakwenda kusomea ualimu, vyuo navyo havina maabarà wanasoma theory, Mgosi wa kaya anataka kuwaajiri hawa eti walimu wa sanaa ni wengi !! Mbona sayansi yenyewe nayo inasomwa ki-arts huko mashuleni ?!! Ndio maana kandarasi kubwa zinafanywa na wageni kutoka China,
Hahahahha duhh hii nchi si mchezoo
 
watengenezee mazingira asee toka chini ....nahayo yawe ni private mazingira lkn km utangoja public mazngra ..hahahahhahaha siku moja mwanao aturudi Om na kitabu cha histori alafu anakwambia "" Aggynasa Historian nisomo rahisi sana nalipenda kupita yote "" hapo ndo utajua nikwann mkolon alituletea historian kwanza wakati kwao kulikua na viwanda ..mahospital...silaha Kali Kali.
Ahsante kwa ushauri ambao tayari nimeanza kuufanyia kazi
 
Safi mkuu kwa kuanza kuwaandalia msingi mapema vijana Nahisi hapo kuna Dr,Pilot na Engineer,Kila kitu kinawezekana cha msingi wazianze kuchafuliwa mapema kwamba Sayansi ni Ngumu,Shule nzuri zenye walimu bora watafanya vizuri tuu
Ahsante kwa utabiri wako, Mungu aufanye uwe halisi, naufanyia kazi ushauri wako
 
Inategemea na Shule uliyosoma na walimu waliokuwepo hapo, Kuna shule zina kila kitu, masomo ya sanaa yanachukiwa kwenye hizo shule, Kuna shule watoto hawapendi masomo ya bla bla, wamejikita kwenye theory na practical,wana maabara za kisasa, walimu waliofaulu na wanajua
 
Sayansi si ya mchezo

1.Why a falling drop of liquid assume a spherical shape before falling?

2.Prove that weight of an ice skater moving around a circle of radius ' r' is directed to the centre?

3. Explain why a racing car have a wider car tyres?

4.Why a pond of water a appears on the tarmac road during a hotty sunny day?

5.A pen rubbed on hair will attracts some piece of paper, why?

6. Why is it possible to swalow while in upside down position?

7. Explain why tree shades off their leaves during dry season?

8. Why animal living near the north pole of the world have large deposit of fat under their skin?

9. Explain why a dog hangs it tongue during a hot sunny day

10. Explain why is it dangerous to carry an umbrella while raining?

11. What happen when conc sulphuric acid is added to a sugar solution?

12. What will happen when kerosene is added to a fish pond?

13.Explain why aluminium metal is used to make cooking untesils?

14. Why hydrogen gas is used for filing balloon?

15. Explain why breathing through the nose is safe than mouth?

Ukiweza kuijibu hayo ndo utajua sayansi ni rahisi au la! Basi tu tulikomaa na madude magumu kwa Sifa nyingi, ila leo pesa hata ya Bando ni shinda
 
Reflective Index,magnetism,Evapottranspiration,its too cold Fats used as a source of heat/energy after digestion,to maintain overheating,Fish wll die due to Lack of O2,Al is very lighter,H2 is light gas,Nose has Hair follicles which traps dust and other particles swallow peristalysis mvt of food bolus along the alimentary canal in wave of mascular cont&relaxation,Nimejaribu in zig zag way
 
Sayansi si ya mchezo

1.Why a falling drop of liquid assume a spherical shape before falling?

2.Prove that weight of an ice skater moving around a circle of radius ' r' is directed to the centre?

3. Explain why a racing car have a wider car tyres?

4.Why a pond of water a appears on the tarmac road during a hotty sunny day?

5.A pen rubbed on hair will attracts some piece of paper, why?

6. Why is it possible to swalow while in upside down position?

7. Explain why tree shades off their leaves during dry season?

8. Why animal living near the north pole of the world have large deposit of fat under their skin?

9. Explain why a dog hangs it tongue during a hot sunny day

10. Explain why is it dangerous to carry an umbrella while raining?

11. What happen when conc sulphuric acid is added to a sugar solution?

12. What will happen when kerosene is added to a fish pond?

13.Explain why aluminium metal is used to make cooking untesils?

14. Why hydrogen gas is used for filing balloon?

15. Explain why breathing through the nose is safe than mouth?

Ukiweza kuijibu hayo ndo utajua sayansi ni rahisi au la! Basi tu tulikomaa na madude magumu kwa Sifa nyingi, ila leo pesa hata ya Bando ni shinda
Kwahiyo haya ndio maswali magumu?......kweli taifa lina changamoto.
 
Back
Top Bottom