Kwa mtazamo wa nje unaweza kusema ni watu walio wa kweli,open minded na wenye muamko.ki uhalisia wanachadema wamekua washabiki sana na wapenzi kupitiliza wa siasa za chama chao mpaka wanashindwa kuuona ukweli.
1. Siku zote wanaamini chama chao ni safi sana hakina kasoro.
2.kila linalosemwa na chama chao wanaamini ni kweli.hawana muda wa kufatilia na kuchanganua huo ukweli wanaoambiwa.
3.wamempa Tindu Lissu haki ya kufikiria kwa niaba yao.chochote asemacho Lissu wanachadema wanachukua kama kilivo hawana muda wa kuhoji waka kutafakari.
4.mtu yoyote ambao unapinga na kuhoji sera na mwenendo wao basi wanakuona ni msaliti na utaitwa majina yote na kashfa kibao.
5. Ni wanasiasa wazuri majukwaani na kwenye mitandao ya jamii ila kwenye utendaji ni kama makobe vile.
6.kwao siasa ni vita,uadui na chuki ndo maana wakimuona mchungaji mwesigwa ka post picha fb yupo na lowasa hyo n nongwa,ZZK kua karibu na JK au mkono kwao ni usaliti.wanahubiri amani uku wakiratibu siasa za chuki na uadui.
To b honest nahitaji mabadiliko katika uongozi wa nchi hii,tunahitaji serikali mpya ila sioni tofauti kati ya CCM na CHADEMA wote ni wanafiki na wachumia tumbo.
Vua fikra yako uliyoivisha gwanda,vaa fikra huru,fanya maamuzi sahihi kwa mustakabalibwa tanzania ya leo na kizazi kijacho.
Wanachadema you are a prisoners of your own prison,being held in prison of your own creation.
1. Siku zote wanaamini chama chao ni safi sana hakina kasoro.
2.kila linalosemwa na chama chao wanaamini ni kweli.hawana muda wa kufatilia na kuchanganua huo ukweli wanaoambiwa.
3.wamempa Tindu Lissu haki ya kufikiria kwa niaba yao.chochote asemacho Lissu wanachadema wanachukua kama kilivo hawana muda wa kuhoji waka kutafakari.
4.mtu yoyote ambao unapinga na kuhoji sera na mwenendo wao basi wanakuona ni msaliti na utaitwa majina yote na kashfa kibao.
5. Ni wanasiasa wazuri majukwaani na kwenye mitandao ya jamii ila kwenye utendaji ni kama makobe vile.
6.kwao siasa ni vita,uadui na chuki ndo maana wakimuona mchungaji mwesigwa ka post picha fb yupo na lowasa hyo n nongwa,ZZK kua karibu na JK au mkono kwao ni usaliti.wanahubiri amani uku wakiratibu siasa za chuki na uadui.
To b honest nahitaji mabadiliko katika uongozi wa nchi hii,tunahitaji serikali mpya ila sioni tofauti kati ya CCM na CHADEMA wote ni wanafiki na wachumia tumbo.
Vua fikra yako uliyoivisha gwanda,vaa fikra huru,fanya maamuzi sahihi kwa mustakabalibwa tanzania ya leo na kizazi kijacho.
Wanachadema you are a prisoners of your own prison,being held in prison of your own creation.