Fiesta ya Kigoma, Diamond afunika

Fiesta ya Kigoma, Diamond afunika

trudie

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
4,443
Reaction score
10,776
Msanii Diamond afunika kwenye fiesta ya Kigoma pamoja na kutokuwepo,ulipigwa wimbo wake shangwe alizopokea zilikuwa balaa wanakigoma hawana ajizi.

Kwa upande wa Kiba naye alifanya vizuri japo stage perfomance inamuangusha na pia mpangilio wa mavazi.

Washauri wa Kiba mshaurini alivyovaa jana Kigoma hapana jamani sio mwonekano wa kisteji alikuwa kama anaenda kupokea kipaimara (suti na moka).
 
Kiba aanze kuvaa sketi au nguo za jeshi kama mwenzake watu watamkubali tu!

Hakuna snitch kama shabiki kwenye mziki_ROMA!
 
Heheheeee.. Sasa tanzania kuna wasanii wawili tu..lol.
Baba levo naye yupo jamani.. Muongeleeni nayeye japo mara moja.
 
Jana Fiesta…!!! Au sijaelewa vzr…? Embu niweke sawa mtoa mada
 
Kiba aanze kuvaa sketi au nguo za jeshi kama mwenzake watu watamkubali tu!

Hakuna snitch kama shabiki kwenye mziki_ROMA!

Umemwona alivyovaa jana?mara mia na leaders atlisti alikua poa
 
Mtoa mada umechelewa sana au uliogopa Elnino atakuwahi?
Unahangaika sana ila anapendwa na uvaaji wake huo au ulitaka avae skirt? Kiba jana funika thanaaaaaaaaaaaa
 
Mtoa mada umechelewa sana au uliogopa Elnino atakuwahi?
Unahangaika sana ila anapendwa na uvaaji wake huo au ulitaka avae skirt? Kiba jana funika thanaaaaaaaaaaaa

Funika wapi angalia shangwe za mwana fananisha na za mdogomdogo ...sikutaka avae sketi bali kuna mwonekano wa kisanii in that kiba yuko very poor
 
Hatuna raha jamani kkkaaahh!!
Kiba single moja tu roho zimewatoka
 
inatakiwa tuwashaur team kiba maanawao kukesha kweny mitandao kumchafua d pumbav zao msaanii wenu hajajitambua bdo
 
Msanii Diamond afunika kwenye fiesta ya Kigoma pamoja na kutokuwepo,ulipigwa wimbo wake shangwe alizopokea zilikuwa balaa wanakigoma hawana ajizi.

Kwa upande wa Kiba naye alifanya vizuri japo stage perfomance inamuangusha na pia mpangilio wa mavazi.

Washauri wa Kiba mshaurini alivyovaa jana Kigoma hapana jamani sio mwonekano wa kisteji alikuwa kama anaenda kupokea kipaimara (suti na moka).

ni kweli angalau hata mapinduzi ya dimond yamemfanya awe anjitahidi kucontroll stage zamani alikuwa anasimama kama mzambarau tu
 
ni kweli angalau hata mapinduzi ya dimond yamemfanya awe anjitahidi kucontroll stage zamani alikuwa anasimama kama mzambarau tu

Umeongea point bro zaman alkuwa anaona kafka na kuitwa kwa rkel akabweteka badala ya kutumia nafas kufanya mambo
mwenzake D mdogo mdogo katafuta chanel haf kazikazia jthada kibao mpaka kimeeleweka na bado anakomaa hamna kulemaa mtt wa tandale ma mtv trace bet afrima mpaka maus.. Al k tutamuona tbc star tv clouds

All k saa iv anatumia mgongo wa mchz.mfalme gan nymbo yake hyo mpo haipeny imeishia mipakan mwenzake mdogo na tuzo ishakula mwache ajifariji
 
Umeongea point bro zaman alkuwa anaona kafka na kuitwa kwa rkel akabweteka badala ya kutumia nafas kufanya mambo
mwenzake D mdogo mdogo katafuta chanel haf kazikazia jthada kibao mpaka kimeeleweka na bado anakomaa hamna kulemaa mtt wa tandale ma mtv trace bet afrima mpaka maus.. Al k tutamuona tbc star tv clouds

All k saa iv anatumia mgongo wa mchz.mfalme gan nymbo yake hyo mpo haipeny imeishia mipakan mwenzake mdogo na tuzo ishakula mwache ajifariji

Sahivi Dai anampuuza tu
 
Team kiba mshaurini mwenzenu avae vizuri kwa stage bwana aaah
 
Back
Top Bottom