DOKEZO Fieldforce na uongozi wa Morogoro wawa kikwazo kwa waendesha bajaji

DOKEZO Fieldforce na uongozi wa Morogoro wawa kikwazo kwa waendesha bajaji

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mr Issa Mussa

Member
Joined
Oct 6, 2020
Posts
12
Reaction score
11
Ni huzuni na kero kwa hili linaloendelea mjini Morogoro, Fieldforce wamejikita kukamata bajaji, Pia Tarura na sector zingine za kiutawala zote zimetolea macho waendesha babaji kwa kamatakamata na uwazishwaji wa vitu vipya

Kila uchao ili tu kutengeneza mianya ya kujinufaisha huku wakiwaweka kwenye mminyo na ugumu waendesha bajaji ambao wengi wao hali zao ni duni na hawajatengezewa mazingira mazuri ya vituo vya ushushaji na upakiaji kiukweli inaumiza.

Jambo hili linapelekea mambo yafuatayo;

01. Kukosa imani na ngazi za kiutawala baada ya kuwa msaada zimekuwa kadamizi na kelo.
02. Kukisili kwa uwalivu, vijana watakosa cha kufanya mwishoe watajiusisha kwenye uwalivu.
 
Back
Top Bottom