Fid Q vs Jo Makini

Nimekubalia analysis yako, angalia these names: Kurasa, Magazijuto, Salu T, Solo, JCB, JMo nk..hawa watu wako real, they know wat hiphop music means.

 
all i knw ni kwamba Ngosha ndo mc mkali zaid ya joh..jaribu kuckiliza Neno ft lod iez ndo utakubaliana nami pili fid anasoma sana vitab tht's y anadrop consciouz za maana
 
wote mabitozi tu, ila Fid Q ana akili na yuko matured kifikra na kwa hoja
 
namkubali sana fid Q zomea tanescooooo....
 
Hakuna kitu hapo, wote hao ni wanabees, hawako real kuanzia lyrics hadi mavazi yao, wanaACT kama kina jay z, 50 cent, ice cube na wengineo. Hivi huwa hawajiulizi hakuna wasanii wakubwa wa hip hop kwenye nchi za FRANCE, GERMAN, ENGLAND, SOUTH AFRICA, CANADA, RUSSIA na nyinginezo? Nani anayewajua hao wanahip hop wa hizo nchi na japo ni nchi kubwa duniani. Wawe real, huwezi kushindana na wamarekani kamwe that's why Ali Kiba anatusua ulaya cause anafanya kitu tofauti. Kuna maunderground wangapi marekani ambao hawajatoka na wala hakuna mtu yeyote anayewasikliza? Nawaonea huruma sana hawa wasanii wa hip hop hapa bongo. Utakuta msanii wa hip hop bongo anahojiwa anakwambia ndoto zake ni kuwa msanii mkubwa duniani, hiyo ni ndoto ya mchana.
 
Farid Kubanda a.k.a Fid Q:
'BAYA LISILONIDHURU NI JEMA LISILO NA FAIDA.....'
'MIHADARATI YA UKUBWANI INAFANYA USICHUNGE ULIMI.....'
'MADENI KUZIDI MALIPO MWIKO....'
'NAMAMBO YAKIENDA KOMBO YAACHE USIENDE NAYO'.
Prof. Chuo kikuu cha gheto, namkubali balaa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…