Fid Q nani kakuloga? Umeanza kurithi ujinga na Chuki za Ali Kiba dhidi ya wasanii wenzake! Walichokifanya msibani ni kitendo cha kijinga na kishamba!

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,210
42,072
Wasalaam wana jamvi!

Kama mnavyojua kuwa Alikiba ni mmoja wa wasanii wenye kibri na chuki ambazo zimejificha lakini kama utakuwa una mfatilia mwenendo wake kwenye sanaa utagundua kuwa Alikiba ni mtu mwenye kibri ,majivuno na chuki zisizo za msingi!

Alikiba amekuwa na tabia ya kutumia matukio yanayo kutanisha wasanii wenzake kuendeleza chuki na kibri dhidi ya wasanii wenzie.,....ni kawaida ya Alikiba kutotoa mikono kwa baadhi ya wasanii wenzie hasa wanaotoka wasafi hata wakilazimisha kumsalimu huwa hakubali....
Bado najiuliza hivi Alikiba anaumwa nini?

Lakini hii tabia ya chuki na kibri amesha anza kuwarithisha wasanii wenzie hasa huyu ndugu “Farid Kubanda” tena chuki dhidi ya wasanii wa WCB

Jana kwenye tukio la kumuaga ndugu Mbalamwezi kulitokea tukio ambalo limesambaa sana kwenye mitandao ya kijamii...
Msanii Harmonize alikwenda msibani na alipofika alianza kuwapa mikono wasanii wenzie na baadhi ya watu walio kuwepo,alipokuwa anaendelea kutoa mikono kabla hajawafikia watukufu Fid q na Alikiba walinyanyuka gafla na kupeana ishara ya kuondoka kiasi kwamba ikazua sintofahamu na watu kuanza kushangaa yani mtu anataka kuwapa mkono wa Pole mnamkimbia ina wasaidia nini?

Fid q na Alikiba nani aliye waroga?

Najua shida ya watu ni jinsi wasanii wa WCB walivyo na walinzi ...Lakini tujiulize ni kweli wasanii wetu hawahitaji walinzi? Na ni kwanini tuchukie watu wakifanikiwa?
Hivi msanii Mbalamwezi angelikuwa na walinzi pengine si tungelijua kilichompata au kisingempata kilicho mpata?

Hivi Kwanini wasanii ndio wanachukia wasanii wenzao? Kwani msanii kufanikiwa ni dhambi? Wasanii wa WCB hawapaswi kwenda misibani kwakuwa wana walinzi au vyombo vya habari vitawafata?

Kwanini hatutaki kukubali kuwa kuna wasanii lazima wafatwe na vyombo vya habari na lazima wawe na walinzi kwakuwa ni wakubwa na hatuwezi kuzuia?

Fid q na Alikiba na kawaroga?
 
Fid Q labda kaahidiwa colabo na Kiba ndo maana akafuata mkumbo ila sikuona mantiki ya kuondoka msibani. Nlimuona pia shetta akiwa anagawa chakula wakati huo nae pia akapotezea kama hakuna kitu. Ila kama ni Mimi Harmonize najulkana ni staa basi ningevaa kawaida tu kanzu na bargashia au kitambaa kile cha kichwan then ningewahi tu mapeeema kujumuika na wenzangu, msibani kunakuaga na mambo mengi ya kusaidia hata kugawa chakula kwa wageni kiswazi tunaita waandazi pia kuna kuasaidiana hapa na pale palipopungua.
 
Kibri ya kujificha wewe umeijuaje?

halafu swala la kutotoa mkono hili mimi nalihesabu kama slogani mahususi kulinda heshima ya mziki wake.

Mziki wa hapa bongo bila bifu ni ngumu kutusua, ukifatilia wasanii waliopata mafanikio hapa bifu lilihusika kwa namna fulani, mfano mr nice na dudu baya bila bifu hapa mr nice asingeweza kutusua. Hii nimeiona hata kwenye bongo movies kuna kipindi fulani kulikua na battle kati ya kanumba na ray yaani ni battle ambayo inawagawa mashabiki kuweka upinzani kama wa simba na yanga


Binafsi naamini alikiba na diamond hawana bifu ila bifu liko kwa mashabiki wa hizi timu mbili. Bifu lao ni kama battle yaani lime base kimuziki sio katika maisha ya halisia, mfano bifu ya tory lanez na joyner lucas hua inaishia kwenye mziki tu lakini hainamaana kama wanachukiana

Pengine alikiba angetoa mkono kumpa diamond angepunguza upinzani na kuonekana kama hawana bifu ni acting tu kwa ajili ya manufaa yao kimuziki.


Kuhusu fid q

Kiukweli nilikua namkubali sana fid q wa "ielewe mitaa", "propaganda" na latest "sumu" fid Q wa sasa kalegeza mno yaani nilishangaa naye ameanza mipasho kama ya afande sele kuchambana na wasafi
 
Kibri ya kujificha wewe umeijuaje?
halafu swala la kutotoa mkono hili mimi nalihesabu kama slogani mahususi kulinda heshima ya mziki wake.
Mziki wa hapa bongo bila bifu ni ngumu kutusua, ukifatilia wasanii waliopata mafanikio hapa bifu lilihusika kwa namna fulani, mfano mr nice na dudu baya bila bifu hapa mr nice asingeweza kutusua. Hii nimeiona hata kwenye bongo movies kuna kipindi fulani kulikua na battle kati ya kanumba na ray yaani ni battle ambayo inawagawa mashabiki kuweka upinzani kama wa simba na yanga
Binafsi naamini alikiba na diamond hawana bifu ila bifu liko kwa mashabiki wa hizi timu mbili. Bifu lao ni kama battle yaani lime base kimuziki sio katika maisha ya halisia, mfano bifu ya tory lanez na joyner lucas hua inaishia kwenye mziki tu lakini hainamaana kama wanachukiana
Pengine alikiba angetoa mkono kumpa diamond angepunguza upinzani na kuonekana kama hawana bifu ni acting tu kwa ajili ya manufaa yao kimuziki.
Mr Nice bila bifu na Dudu Baya asingefanyaje? Nigga you gotta be kidding!
 
Wasalaam wana jamvi!
Kama mnavyojua kuwa Alikiba ni mmoja wa wasanii wenye kibri na chuki ambazo zimejificha lakini kama utakuwa una mfatilia mwenendo wake kwenye sanaa utagundua kuwa Alikiba ni mtu mwenye kibri ,majivuno na chuki zisizo za msingi!
Alikiba amekuwa na tabia ya kutumia matukio yanayo kutanisha wasanii wenzake kuendeleza chuki na kibri dhidi ya wasanii wenzie.,....ni kawaida ya Alikiba kutotoa mikono kwa baadhi ya wasanii wenzie hasa wanaotoka wasafi hata wakilazimisha kumsalimu huwa hakubali....
Bado najiuliza hivi Alikiba anaumwa nini?
Lakini hii tabia ya chuki na kibri amesha anza kuwarithisha wasanii wenzie hasa huyu ndugu “Farid Kubanda” tena chuki dhidi ya wasanii wa WCB
Jana kwenye tukio la kumuaga ndugu Mbalamwezi kulitokea tukio ambalo limesambaa sana kwenye mitandao ya kijamii...
Msanii Harmonize alikwenda msibani na alipofika alianza kuwapa mikono wasanii wenzie na baadhi ya watu walio kuwepo,alipokuwa anaendelea kutoa mikono kabla hajawafikia watukufu Fid q na Alikiba walinyanyuka gafla na kupeana ishara ya kuondoka kiasi kwamba ikazua sintofahamu na watu kuanza kushangaa yani mtu anataka kuwapa mkono wa Pole mnamkimbia ina wasaidia nini?
Fid q na Alikiba nani aliye waroga?
Najua shida ya watu ni jinsi wasanii wa WCB walivyo na walinzi ...Lakini tujiulize ni kweli wasanii wetu hawahitaji walinzi? Na ni kwanini tuchukie watu wakifanikiwa?
Hivi msanii Mbalamwezi angelikuwa na walinzi pengine si tungelijua kilichompata au kisingempata kilicho mpata?
Hivi Kwanini wasanii ndio wanachukia wasanii wenzao? Kwani msanii kufanikiwa ni dhambi? Wasanii wa WCB hawapaswi kwenda misibani kwakuwa wana walinzi au vyombo vya habari vitawafata?
Kwanini hatutaki kukubali kuwa kuna wasanii lazima wafatwe na vyombo vya habari na lazima wawe na walinzi kwakuwa ni wakubwa na hatuwezi kuzuia?
Fid q na Alikiba na kawaroga?
hata ccm inachukia upinzani
 
Back
Top Bottom