Fid Q nani kakuloga? Umeanza kurithi ujinga na Chuki za Ali Kiba dhidi ya wasanii wenzake! Walichokifanya msibani ni kitendo cha kijinga na kishamba!

Aiseee nimemshangaaa Fid q,Kwa Ali kiba nilitegemea hilo.
Ivi ni kweli unaamini waliondoka coz of konde boy au tayari walikuwa na ratiba zao labda za kwenda kugawa chakula si ulikuwa muda wa chakula ule
 
Jamaa wanawaonaga wasanii wa WCB ni watakatifu na yyte aliye tofauti nao ndo mwenye makosa,chuki,wivu,mshamba,roho mbaya na kila sifa mbaya TUONDOLEENI UPUUZI WENU msilazimishe kila mtu ayachukulie mambo kwa namna mmnavyochukulia nyie..NB KUCHELEWA MISIBANI NAONA UMEKUWA UTARATIBU PALE WCB nadhan hilo ndo la kuandikia.
 
Nipsey Hussle hakuwa na walinzi alipopigwa risasi? 2 Pac je? Biggie je? Watu wakiamua kukuua wanakuua tu, wanauawa marais wenye convoy za walinzi ndiyo itakuwa Harmonize? Unapaswa kujifunza kusocialize na watu, leo unapojenga ukuta just because wewe ni msanii wa Bongo Fleva, mabodigadi kama wote, dharau na kibri kwa sababu umefanikiwa kidogo ni ushamba! Kwa hiyo kwa akili yako Harmonize ni mkubwa kuliko Ali Kiba?
Ndo akili za wana WCB wote wanaamini hivyo Hahahahahahaaaa
 
Hvi hao ni mabodyguard au show off, hata mie ningekuwa Kiba ningesepa, mnapiga zenu story mtu anakuja na mabodyguard kibao anavuruga hali ya hewa kila kitu, vumbi, makelele na kila aina ya ghasia..aah kero sana
 
Nipsey Hussle hakuwa na walinzi alipopigwa risasi? 2 Pac je? Biggie je? Watu wakiamua kukuua wanakuua tu, wanauawa marais wenye convoy za walinzi ndiyo itakuwa Harmonize? Unapaswa kujifunza kusocialize na watu, leo unapojenga ukuta just because wewe ni msanii wa Bongo Fleva, mabodigadi kama wote, dharau na kibri kwa sababu umefanikiwa kidogo ni ushamba! Kwa hiyo kwa akili yako Harmonize ni mkubwa kuliko Ali Kiba?

Ishu sio kuuliwa tuu, kuna usumbufu wa kuvutwa vutwa na kuibiwa, kama diamond platnumz anavaa vito vya thamani zaidi ya milioni 150, kwa nini asitembee na walinzi

Harmonize ni mkubwa kuliko ali kiba kwa sasa, kuanzia hela mpaka nyimbo, Ali tumuache na u legendary tuu
 
IMG_9263.JPG
 
Ishu sio kuuliwa tuu, kuna usumbufu wa kuvutwa vutwa na kuibiwa, kama diamond platnumz anavaa vito vya thamani zaidi ya milioni 150, kwa nini asitembee na walinzi

Harmonize ni mkubwa kuliko ali kiba kwa sasa, kuanzia hela mpaka nyimbo, Ali tumuache na u legendary tuu
Hadi urefu sa hivi Harmonize kamzidi Ali kiba #MJINGA MPE CHEO
 
Anashuka kwako lakini kwetu bado yuko juuu zaidia juuu kabisa
Ingekua mimi na wewe ndio tunaamua you sahihi;ila ukiangalia realistic huyo bishoo wenu anapoteza,kama Mmakonde anatapisha uwanja Southern Sudan alafu yeye hana uwezo huo,ni takataka
 
Ingekua mimi na wewe ndio tunaamua you sahihi;ila ukiangalia realistic huyo bishoo wenu anapoteza,kama Mmakonde anatapisha uwanja Southern Sudan alafu yeye hana uwezo huo,ni takataka
hahahahaaaaa so ni kwa kujaza tu southSudan ndo ghafla kawa mkubwa kuliko kiba acheni ujinga nyie
 
Back
Top Bottom