Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,741
aiseee...hii nchi masinema kila kona
japo sijaelewa pia mantiki ya jamaa kuvaa suti
Ivi ni kweli unaamini waliondoka coz of konde boy au tayari walikuwa na ratiba zao labda za kwenda kugawa chakula si ulikuwa muda wa chakula uleAiseee nimemshangaaa Fid q,Kwa Ali kiba nilitegemea hilo.
Hao watu wanapenda sana attentions za watu afu hawaangalii mahali pa kutafuta izi maatentions adi misibaniaiseee...hii nchi masinema kila kona
japo sijaelewa pia mantiki ya jamaa kuvaa suti
Ndo akili za wana WCB wote wanaamini hivyo HahahahahahaaaaNipsey Hussle hakuwa na walinzi alipopigwa risasi? 2 Pac je? Biggie je? Watu wakiamua kukuua wanakuua tu, wanauawa marais wenye convoy za walinzi ndiyo itakuwa Harmonize? Unapaswa kujifunza kusocialize na watu, leo unapojenga ukuta just because wewe ni msanii wa Bongo Fleva, mabodigadi kama wote, dharau na kibri kwa sababu umefanikiwa kidogo ni ushamba! Kwa hiyo kwa akili yako Harmonize ni mkubwa kuliko Ali Kiba?
Hao watu wanapenda sana attentions za watu afu hawaangalii mahali pa kutafuta izi maatentions adi misibani
Nipsey Hussle hakuwa na walinzi alipopigwa risasi? 2 Pac je? Biggie je? Watu wakiamua kukuua wanakuua tu, wanauawa marais wenye convoy za walinzi ndiyo itakuwa Harmonize? Unapaswa kujifunza kusocialize na watu, leo unapojenga ukuta just because wewe ni msanii wa Bongo Fleva, mabodigadi kama wote, dharau na kibri kwa sababu umefanikiwa kidogo ni ushamba! Kwa hiyo kwa akili yako Harmonize ni mkubwa kuliko Ali Kiba?
Kiba ameshuka sasa hv mm mwnyewe Team Kiba, Ila ukwel jamaa kashuka sana Ngoma za kawaida tu. yan hata kwa Harmonize hamfikii hata kidogo.Anashuka kwako lakini kwetu bado yuko juuu zaidia juuu kabisa
Hadi urefu sa hivi Harmonize kamzidi Ali kiba #MJINGA MPE CHEOIshu sio kuuliwa tuu, kuna usumbufu wa kuvutwa vutwa na kuibiwa, kama diamond platnumz anavaa vito vya thamani zaidi ya milioni 150, kwa nini asitembee na walinzi
Harmonize ni mkubwa kuliko ali kiba kwa sasa, kuanzia hela mpaka nyimbo, Ali tumuache na u legendary tuu
Hadi urefu sa hivi Harmonize kamzidi Ali kiba #MJINGA MPE CHEO
Ingekua mimi na wewe ndio tunaamua you sahihi;ila ukiangalia realistic huyo bishoo wenu anapoteza,kama Mmakonde anatapisha uwanja Southern Sudan alafu yeye hana uwezo huo,ni takatakaAnashuka kwako lakini kwetu bado yuko juuu zaidia juuu kabisa
hahahahaaaaa so ni kwa kujaza tu southSudan ndo ghafla kawa mkubwa kuliko kiba acheni ujinga nyieIngekua mimi na wewe ndio tunaamua you sahihi;ila ukiangalia realistic huyo bishoo wenu anapoteza,kama Mmakonde anatapisha uwanja Southern Sudan alafu yeye hana uwezo huo,ni takataka
Mnadhani Ali kiba ni MARIOO au BARAKA DE PRINCE eeh jipeni moyoHiyo ni fact mzee, Harmonize kwa sasa kimziki na hata kifedha ali kiba anakaa chini, nakupa CHEO mkuu