hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,805
huyo Nape asubiri aone kitakacho tokea,,,, sasa kama wao ni wajanja sana na wanaweza sana kuiba kura safari hii tunamnyoa mtu nywele kwa kucha
Huyo Nape Nnauye alikua na thread yake hapa anajigamba ushindi wa ZANU-PF sijui nini....
Majibu yake haya hapa kwenye huu uzi. Unless alichokua anasema ni kuwa wizi wa kura ndo mpango mzima. Hapo naweza kumwelewa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Last edited by a moderator: