FFARS: Changamoto na majibu yake

FFARS: Changamoto na majibu yake

togetherTight

Member
Joined
May 21, 2017
Posts
99
Reaction score
100
Nawasalimu wakuu,

Mimi ni mhasibu (kwa uzoefu😆😆) katika taasisi yangu.

Ninakauzoefu kidogo matumizi ya FFARS katika kufanya miamala ya mapato na matumizi, recociliation, adjustment atl.

Kwa wale tunaohusika na hii kitu karibuni tupeane mauzoefu.
 
Huwezi Leta Mada inayohusu mtandao wa Serikali tena unaohusu pesa, unataka mtandao udukuliwe? Kutaja udhaifu Ni kutoa mwanya Kwa wale wasio na nia njema wapi wanaweza kufikia

Uzoefu na Changamoto zinatatuliwa kwenye semina elekezi
 
Huwezi Leta Mada inayohusu mtandao wa Serikali tena unaohusu pesa, unataka mtandao udukuliwe? Kutaja udhaifu Ni kutoa mwanya Kwa wale wasio na nia njema wapi wanaweza kufikia

Uzoefu na Changamoto zinatatuliwa kwenye semina elekezi
Upo sahihi,hapa siyo mahali sahihi
 
Nawasalimu wakuu,

Mimi ni mhasibu (kwa uzoefu) katika taasisi yangu.

Ninakauzoefu kidogo matumizi ya FFARS katika kufanya miamala ya mapato na matumizi, recociliation, adjustment atl.

Kwa wale tunaohusika na hii kitu karibuni tupeane mauzoefu.
Umetumwa vipi?, huo ni mtandao wa fedha wa got ,unataka watu wadukue??

Mission failed.

Go go go to hel
 
Huwezi Leta Mada inayohusu mtandao wa Serikali tena unaohusu pesa, unataka mtandao udukuliwe? Kutaja udhaifu Ni kutoa mwanya Kwa wale wasio na nia njema wapi wanaweza kufikia

Uzoefu na Changamoto zinatatuliwa kwenye semina elekezi
Semina elekezi hazijatolewa kabisa kwa wahasibu wa taasisi nyingi hasa hospital, shule za secondary na msingi. Ndugu kuna watu hawajui hata kupokea fedha au kufanya malipo mtandaoni achilia mbali kufanya recincilliation wengine wamo humu.
Sisi tunaojuajua wanatusumbua sana.

Naamini kwa mambo madogo madogo km hayo wala hayana shida, yanayohitaji authority yanajulikana, na walioandaa system hiyo sio mafala kuruhusu watu huforge au huhack kirahisi hivyo.

WEE MWOGA SANA KUPITILIZA MKUU 😳😳
 
Back
Top Bottom