Eh una bahati. Ila kama unajitekenya mwenyewe sawaMbona amekuja mkuu
Eh una bahati. Ila kama unajitekenya mwenyewe sawaMbona amekuja mkuu
Haina sehemu ya kupunguzia??Niliinunua kwa matumizi ya home, but nilipofika home nikagundua mimebugi, maana INA upepo ambao sio friendly kwa matumizi ya watu. So imekuwa haitumiki kwa muda sasa. Nahitaji kuiuza sasa
Itakuwa maeneo ya Beach ama stand!unayemuuzia unataka akaiutumie wapi?
Nakuja nakuja kwa ulivoniita lazma unataka kuninunulia hiyo feni.Nakuomba PM Mara moja
Nakuja nakuja kwa ulivoniita lazma unataka kuninunulia hiyo feni.
Ahsante in advance
Uje pm nauza mchanganyiko wa asali na mavitu mengineAkija ukatambike
In namba 1, 2, na 3. Lakini zote ni Kali it like helicopter ndogo...Haina sehemu ya kupunguzia??