Hilo ni soka la mchangani tu,kwahiyo sio mbaya sana.Kwahiyo kisa mwanamke kazaa ndio apoteze haki yake ya kusakata kabumbu?
Mbona wanaume wanacheza mpira huku wana watoto wachanga majumbani kwao? Au mtoto ni wa mwanamke pekee?
No pale uliposema kuwa mbona wanaume wanaacha watoto nyumbani!!!.........Nisamehe mpenzi, kwanza ndondo ni kitu gani? Sasa hayo manyonyo alipata maji ya kuyaosha maana alikuwa anatoka jasho!!! Haya bwana!
No pale uliposema kuwa mbona wanaume wanaacha watoto nyumbani!!!.........Nisamehe mpenzi, kwanza ndondo ni kitu gani? Sasa hayo manyonyo alipata maji ya kuyaosha maana alikuwa anatoka jasho!!! Haya bwana!