Nenda kwenye gallery (Photos), tafuta picha moja uliompiga mtu (Potrait ndio nzuri zaidi), hafu ifungue, juu kulia utaona kuna vidot vitatu, sasa chini ya ivo vidoti kuna alama flani ya shape pembe 6, ibonyeze. Itaload afu itafanya picha yako inakua unyama sana.