Fedheha kubwa polisi Singida

Fedheha kubwa polisi Singida

Nyie watukaneni polisi kana kwamba hamjui kazi zao ndio zinazowafanya muwe salama kufanya shughuli zenu. Hivi mazingira ya kazi za polisi mnazitambua? Tunahubiri Amani, chimbuko lake tunajua ni nini?
 
Angalia yasije yakakutokea ya Mwangosi.... WAtakwambia "UNATUFUNDISHA KAZI"

Mnafanya ujinga mwing msiambiwe ukwel;rushwa ktk vigar vinoa ndo kama gest za makahaba!Hawajal raia hao... tumbo kwanza!
 
Tupe picha tafadhal

Hivi hawa njaa kali utathubutu kumpga pcha?

Kuna siku majira ya saa 2usiku nawakuta polisi et wanatanga pikpki maeneo ya misuna juu kuelekea aliazar sec. Hata kama ndo utendaji au? Wiz mtupu huo!
 
@حخمهسه ىه صشاشمهبع. Polisi ni wahalifu namba moja
 
Last edited by a moderator:
Huyo dada huenda ni dadake IGP Mangu,Ngoja taarifa zimfikie.Huyo Mhindi na hao vibaraka wake hawana bahati
 
Back
Top Bottom