Nilikuwa hapa Singida tangu jana, nimekuja kuchukua gari, nikiwa maneo ya stend ya zamani, kulitokea msichana ambaye jina lake Safina analalamika kuwa kulikuwa na kikundi cha wanaume wenye asili ya kiasia, (wahindi) wanamlazimisha kufanya naye mapenzi, kwa mujibu wa maelezo ya Dada huyo ni kuwa walitaka kumbaka walimlazimisha kumshika sehemu zake bila ridhaa.
Watanzania hao wenye asili ya kiasia (wahindi) walitoa pesa kwa Askari, yule Dada akamatwa, ameswekwa lock up, ila waliokuwa wanataka kubaka wanaendelea kudunda nje.
Rafiki zake yule mwanadada Jesca na Debora, waliokuwa wanafahamu uchafu wa vijana hao wamekamtwa asubuhi hii na kuwekwa lock up kwa kosa la kufanya fujo, bila kutajiwa waliyemfanyia fujo.
Polisi wamekamata aliyenusurika kubakwa, wakamwacha mbakaji, wanakamata mashahidi wa aliyetaka kubakwa, wabakaji wapo huru nje, Hayo yapo na yanaendelea kujiri sasa Kituo kikuu cha Polisi Singida, mamlaka husika zifuatilie ukatili huu.
Watanzania hao wenye asili ya kiasia (wahindi) walitoa pesa kwa Askari, yule Dada akamatwa, ameswekwa lock up, ila waliokuwa wanataka kubaka wanaendelea kudunda nje.
Rafiki zake yule mwanadada Jesca na Debora, waliokuwa wanafahamu uchafu wa vijana hao wamekamtwa asubuhi hii na kuwekwa lock up kwa kosa la kufanya fujo, bila kutajiwa waliyemfanyia fujo.
Polisi wamekamata aliyenusurika kubakwa, wakamwacha mbakaji, wanakamata mashahidi wa aliyetaka kubakwa, wabakaji wapo huru nje, Hayo yapo na yanaendelea kujiri sasa Kituo kikuu cha Polisi Singida, mamlaka husika zifuatilie ukatili huu.