Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,588
- 28,752
daah... na demu mlipokutana yeye alijiteteaje.. kumsikiliza pia ni sehemu ya kujua tatizo.. kama alikabwa na wavuta bangi njiani..!!!Mkuu....nilimpigia sm usku akapokea Jamaa.....nikamuuliza VP unapokea sm ya mke wng.....Jamaa akajib anavyo kuhusu wewe Mimi pia ananihusu....kwa mbali nkaskia saut ya dem ...(nipe sm yang bhana). Mkuu hapo VP niendelee kujifariji achepuki
Shemeji si ulinichundia mdogo ako kasepa bora nisogeze miaka tuOa bwan watulivu wapo
Oa bwana usijal nitakupa ssShemeji si ulinichundia mdogo ako kasepa bora nisogeze miaka tu
Ntaoa shemeji ukinipaOa bwana usijal nitakupa ss
Yaani kwetu kuhus maswala ya ushungi usiulize usije ukashindwa ww kununua hizo shungi na baibui za kutoshaNtaoa shemeji ukinipa
NB:ushungi lazima adumishe
Mauzi gani ww
sie tulishayajua hayo tayarMahusiano yangu na mpenz Wang yalikua yanaenda vzr......alikua akinisikiliza..nitakapo muhitaji lazma aje. Yaani alikua anathamini sana kauli yangu....sikufikiri kama ananichit..........
Juzi juzi nimejua anachepuka ....looooooooooooh bora hata nisingejua...baada ya Mimi kumkalisha chini na kumlaumu kwa kuchepuka....ndo kabadilika kabisa mapenz yote kahamishia hukohuko anakochepukia....................kwangu ni zero..,
Najiuliza wenda Mimi ndo nilikua mchepuko wake.....
USHAULI KWA WANAUME WENZANGU......Dem usimpende sana mchukulie kawaida ....hata ukiachananae uwe safi tuu....namaanisha kuwa mguu mmoja ndani mwingine njee....
Hapa nimejaa stress ..nahisi.mwili wangu unawaka moto
Mpaka nmesema hivo ujue mie nipo ktk msimamo shem avater yako inafanya niamini usemacho huko kwenu so wew niandalie tuYaani kwetu kuhus maswala ya ushungi usiulize usije ukashindwa ww kununua hizo shungi na baibui za kutosha
Pole sana brooMahusiano yangu na mpenz Wang yalikua yanaenda vzr......alikua akinisikiliza..nitakapo muhitaji lazma aje. Yaani alikua anathamini sana kauli yangu....sikufikiri kama ananichit..........
Juzi juzi nimejua anachepuka ....looooooooooooh bora hata nisingejua...baada ya Mimi kumkalisha chini na kumlaumu kwa kuchepuka....ndo kabadilika kabisa mapenz yote kahamishia hukohuko anakochepukia....................kwangu ni zero..,
Najiuliza wenda Mimi ndo nilikua mchepuko wake.....
USHAULI KWA WANAUME WENZANGU......Dem usimpende sana mchukulie kawaida ....hata ukiachananae uwe safi tuu....namaanisha kuwa mguu mmoja ndani mwingine njee....
Hapa nimejaa stress ..nahisi.mwili wangu unawaka moto
Hamna shida shem ukiwa tayr nijuze inshallah Allah ataleta kheri shem wanguMpaka nmesema hivo ujue mie nipo ktk msimamo shem avater yako inafanya niamini usemacho huko kwenu so wew niandalie tu
Allahu ma amin shem wee muandae tu naona mda wa kuitwa baba huuHamna shida shem ukiwa tayr nijuze inshallah Allah ataleta kheri shem wangu
Inshallah kila la kheri shem wanguAllahu ma amin shem wee muandae tu naona mda wa kuitwa baba huu