FDLR ku-surrender ni nini chanzo chake?

FDLR ku-surrender ni nini chanzo chake?

Rutana

Member
Joined
Aug 21, 2013
Posts
25
Reaction score
4
Hivi karibuni kundi la wapiganaji wa FDLR walioko DRC wameamua yaishe na hivyo kujisalimisha. Ni nini sababu ya kufikia hatua hiyo.Tujadili
 
wanataka njia ya majadiliano siyo mapigano.
 
Wameogopa kipigo cha JWTZ. Nina ndugu yangu alisema kuna siku maafisa kutoka Burundi, Rwanda na Zimbabwe walioko mafunzoni Kunduchi walipelekwa kuwaona vijana waliokuwa wanajifua pale Kibaha tayari kwa ajili ya kwenda DRC. Anasema jamaa wa Rwanda baada ya kuona yale mazoezi hakula jioni ile maana aliamini kuwa full batalian ni makomandoo tupu.
Huenda alituma salamu kwa vijana wao walioko DRC
 
Wameogopa kipigo cha JWTZ. Nina ndugu yangu alisema kuna siku maafisa kutoka Burundi, Rwanda na Zimbabwe walioko mafunzoni Kunduchi walipelekwa kuwaona vijana waliokuwa wanajifua pale Kibaha tayari kwa ajili ya kwenda DRC. Anasema jamaa wa Rwanda baada ya kuona yale mazoezi hakula jioni ile maana aliamini kuwa full batalian ni makomandoo tupu.
Huenda alituma salamu kwa vijana wao walioko DRC

Hahaha, usifanye mchezo kijana
 
FDLR walikuwa wana silaha kwa ajili ya kujilinda na mashambulizi ya kagame ambaye alikuwa anawaua mara kwa mara nchini DRC. kutokana na UN kuongeza nguvu katika eneo hilo, haiwezekani tena kwa Rwanda kuingia DRC, na hivyo hakuna haja kwa FDLR kufanya siasa wakiwa wameshika silaha.
 
Wameogopa kipigo cha JWTZ. Nina ndugu yangu alisema kuna siku maafisa kutoka Burundi, Rwanda na Zimbabwe walioko mafunzoni Kunduchi walipelekwa kuwaona vijana waliokuwa wanajifua pale Kibaha tayari kwa ajili ya kwenda DRC. Anasema jamaa wa Rwanda baada ya kuona yale mazoezi hakula jioni ile maana aliamini kuwa full batalian ni makomandoo tupu.
Huenda alituma salamu kwa vijana wao walioko DRC

Peleka udaku kwa yale magazeti yenu hapo
 
FDLR walikuwa wana silaha kwa ajili ya kujilinda na mashambulizi ya kagame ambaye alikuwa anawaua mara kwa mara nchini DRC. kutokana na UN kuongeza nguvu katika eneo hilo, haiwezekani tena kwa Rwanda kuingia DRC, na hivyo hakuna haja kwa FDLR kufanya siasa wakiwa wameshika silaha.

Rewind mkanda sasa ndio utajua kwa nini M23 wali evaporate in thin air
 
FDLR walikuwa wana silaha kwa ajili ya kujilinda na mashambulizi ya kagame ambaye alikuwa anawaua mara kwa mara nchini DRC. kutokana na UN kuongeza nguvu katika eneo hilo, haiwezekani tena kwa Rwanda kuingia DRC, na hivyo hakuna haja kwa FDLR kufanya siasa wakiwa wameshika silaha.

Hahah!nilidhani FDRL nimojawapo ya makundi ya kigaidi kama ilivyokuwa kwa M23 na uamuzi wa kupeleka vikosi vya kijeshi,uamuzi ambao ulipewa support na nchi zote za maziwa makuu ulikuwa unahusu vikosi vyote vya kigaidi:
Kulingana na majukumu ya majeshi ya AU nchini DRC , sasa ni zamu ya FDRL kupigwa:
Na kama haipigwi then usitegemee amani nchini Congo:lets wait and see
 
Hahah!nilidhani FDRL nimojawapo ya makundi ya kigaidi kama ilivyokuwa kwa M23 na uamuzi wa kupeleka vikosi vya kijeshi,uamuzi ambao ulipewa support na nchi zote za maziwa makuu ulikuwa unahusu vikosi vyote vya kigaidi:
Kulingana na majukumu ya majeshi ya AU nchini DRC , sasa ni zamu ya FDRL kupigwa:
Na kama haipigwi then usitegemee amani nchini Congo:lets wait and see

No, a very big No, rejea tena taarifa zako. Swala lilikuwa ni disarmament, UN ilikuwa against any armed group, na sio just any group. Hata hao M23 if they would come back as a political party then its fine.
 
Rewind mkanda sasa ndio utajua kwa nini M23 wali evaporate in thin air

Ninachokumbuka walipigwa, na hata picha hizi hapa.

676x380
 
Hahah!nilidhani FDRL nimojawapo ya makundi ya kigaidi kama ilivyokuwa kwa M23 na uamuzi wa kupeleka vikosi vya kijeshi,uamuzi ambao ulipewa support na nchi zote za maziwa makuu ulikuwa unahusu vikosi vyote vya kigaidi:
Kulingana na majukumu ya majeshi ya AU nchini DRC , sasa ni zamu ya FDRL kupigwa:
Na kama haipigwi then usitegemee amani nchini Congo:lets wait and see

Usishangae mkuu very soon jMali atasema FDLR ni NGO.
 
Last edited by a moderator:
No, a very big No, rejea tena taarifa zako. Swala lilikuwa ni disarmament, UN ilikuwa against any armed group, na sio just any group. Hata hao M23 if they would come back as a political party then its fine.

Unataka kusema hizo SADC forces zilikuwa zina disarm M23 au zilikuwa zinapigana nao?
 
Asante kwa ushauri. Udaku ni nini hapo? Au huamini JWTZ wana muziki wa ukweli? Kama ni hivyo, basi waulize M23!

yeye mwenyewe m 23, mziki walioupata GOMA anautambua fika! FLDR wapo salama ukimbizini DRC baada ya UN kuimarisha kikosi chake na kuzuia hujuma kutoka kwa PAKA wa Rwanda.Hawana haja ya mtutu wa bunduki tena sasa wanamsubiri PAKA atekeleze maagizo ya Raisi kikwete ya kufanya nao mazungumzo.
 
nikishaona bandiko kuna post za hawa ndg wawili murutongore against jMali,napenda kubaki msomaji ili nipate burudani.haya twende kazi.sitaahangaa wakiaanza kuitana yale majina yao ya "ki-dmwit" and the likes.lol
 
Last edited by a moderator:
Ninachokumbuka walipigwa, na hata picha hizi hapa.

676x380

Only a person like you can be proud to show such kind of a photo...hata kama ni adui real soldiers don`t treat a corps like that; Only Interahamwe likes will do that: Boots and Uniform shows me these are not TPDF
 
Back
Top Bottom