Fazali wa Leopard aja mahakamani na Polisi

Fazali wa Leopard aja mahakamani na Polisi

sambeke

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
713
Reaction score
651
Huyu mmiliki wa leopard tours aliyefungua kesi ya kuwasingizia madereva utalii wa leopard tours ya arusha, amekuja mahakamani na polisi waliovaama kiraia je ni haki mtu binafsi kulindwa na polisi.
 
Huyu mmiliki wa leopard tours aliyefungua kesi ya kuwasingizia madereva utalii wa leopard tours ya arusha, amekuja mahakamani na polisi waliovaama kiraia je ni haki mtu binafsi kulindwa na polisi.
Kama una hela za kutosha una haki. Na Fazal anazo za kumtosha na ziada!This is tanzania man!!!!!!!
 
hiyo kesi ikoje hebu tiririka kidogo japo tujue sababu za huyo mdosi kufingua hiyo kesi
 
hiyo kesi ikoje hebu tiririka kidogo japo tujue sababu za huyo mdosi kufingua hiyo kesi

Mkuu kutokana na utalii kuyumba mwaka huu fazal wa leopard tours aliamua kupunguza waongoza utalii ila alitaka kuwapunguza bila kuwapa stahiki zao,akafanya njama na askari polisi waje wawakamate hao waongoza utalii akawahonga na polisi wakaenda kuwakamata, kwa kosa la wizi wa Mafuta na kuingia olduvai bila kulipa, watu wakalazimishwa na polisi wasaini kwamba ni kweli wameiba na kughushi nyaraka na pia wasaini barua ya kuacha kazi bila malipo, wale waliokuwa wabishi ndio wakafunguliwa kesi. Leo ilikuwa siku ya ushahidi upande wa leopard na fazal aliitwa kutoa ushahidi ndo akaja na askari waliovalia kiraia wakiwa na silaha. Swali langu ni je hao askari wamepewa shilingi ngapi na ni sawa yeye kulindwa????
 
huyu ni mtu wa karibu wa mamvi na inasemekana ndiye anamtia kibri...
 
Back
Top Bottom