Tabutupu JF-Expert Member Nov 26, 2010 13,109 18,326 Jul 28, 2017 #1 Fatma karume kwa maoni yangu anafaa sana kugombea urais wa Zanzibar kupitia chadema .. Maoni yangu tuu..
Fatma karume kwa maoni yangu anafaa sana kugombea urais wa Zanzibar kupitia chadema .. Maoni yangu tuu..
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,209 42,071 Jul 28, 2017 #2 hahahahaha kama namuona Maalim Seif anavyolia na UKAWA
K kipumbwi JF-Expert Member Feb 3, 2015 3,054 8,663 Jul 28, 2017 #5 Tunawahitaji watu jasiri kama yeye na sio wachumia tumbo wa CCM,sio lazima awe raisi ila sauti yake tu kwenye dhulma na haki ni tunu tosha. Ali Karume anatakiwa kuwa na aibu hata robo tu kwa kumuangalia mtoto wa kaka yake!!!!
Tunawahitaji watu jasiri kama yeye na sio wachumia tumbo wa CCM,sio lazima awe raisi ila sauti yake tu kwenye dhulma na haki ni tunu tosha. Ali Karume anatakiwa kuwa na aibu hata robo tu kwa kumuangalia mtoto wa kaka yake!!!!
Tabutupu JF-Expert Member Nov 26, 2010 13,109 18,326 Jul 28, 2017 Thread starter #6 Ruttashobolwa said: hahahahaha kama namuona Maalim Seif anavyolia na UKAWA Click to expand... ccm wanafurahia , kuu cuf
Ruttashobolwa said: hahahahaha kama namuona Maalim Seif anavyolia na UKAWA Click to expand... ccm wanafurahia , kuu cuf
jingalao JF-Expert Member Oct 12, 2011 35,053 28,245 Jul 28, 2017 #7 Bongo bana...ukionekana kwenye TV wiki tu unafaa kuwa mgombea!
Warrior JF-Expert Member Oct 2, 2015 733 752 Jul 28, 2017 #8 duuh hii kali sasa na maalim seif atakuwa mgombea mwenza au !!!
kigogo warioba JF-Expert Member Jul 11, 2015 6,048 9,392 Jul 28, 2017 #9 atasaidiana na mange, maana wanafanana kiaina!
bigmind JF-Expert Member Oct 28, 2015 12,457 12,668 Jul 28, 2017 #10 Bado ana safari ndefu hapo hajaitwa mwana wa masulia siyo muda utasikia yeye ni mjukuu wa sultan Sent using Jamii Forums mobile app
Bado ana safari ndefu hapo hajaitwa mwana wa masulia siyo muda utasikia yeye ni mjukuu wa sultan Sent using Jamii Forums mobile app
H HEKIMA KWANZA JF-Expert Member Mar 31, 2015 2,942 3,935 Jul 28, 2017 #11 Tabutupu said: Fatma karume kwa maoni yangu anafaa sana kugombea urais wa Zanzibar kupitia chadema .. Maoni yangu tuu.. Click to expand... Hivi Tanzania hakuna ajira nyingine zaidi ya urais? Kila mtu anataka kuwa rais, kuna nini?
Tabutupu said: Fatma karume kwa maoni yangu anafaa sana kugombea urais wa Zanzibar kupitia chadema .. Maoni yangu tuu.. Click to expand... Hivi Tanzania hakuna ajira nyingine zaidi ya urais? Kila mtu anataka kuwa rais, kuna nini?
Tabutupu JF-Expert Member Nov 26, 2010 13,109 18,326 Jul 28, 2017 Thread starter #12 HEKIMA KWANZA said: Hivi Tanzania hakuna ajira nyingine zaidi ya urais? Kila mtu anataka kuwa rais, kuna nini? Click to expand... Ivi huoni aliyepo madarakani anavyo tunyima ajira wakati yeye tumemwajiri
HEKIMA KWANZA said: Hivi Tanzania hakuna ajira nyingine zaidi ya urais? Kila mtu anataka kuwa rais, kuna nini? Click to expand... Ivi huoni aliyepo madarakani anavyo tunyima ajira wakati yeye tumemwajiri
evansGREATDeal JF-Expert Member Jan 4, 2016 4,013 2,330 Jul 28, 2017 #13 Mdada msosi anajua haki zake . Sent using Jamii Forums mobile app
CCM MKAMBARANI JF-Expert Member Mar 15, 2017 1,381 951 Jul 28, 2017 #14 hafai muislam gani anaachia nywele wazi
Tulimumu JF-Expert Member Mar 11, 2013 14,305 12,969 Jul 28, 2017 #15 Kwa mujibu wa katiba, una haki ya kutoa maoni yako bila kulazika au kulazimishwa kupimwa mkojo Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa katiba, una haki ya kutoa maoni yako bila kulazika au kulazimishwa kupimwa mkojo Sent using Jamii Forums mobile app
Tabutupu JF-Expert Member Nov 26, 2010 13,109 18,326 Jul 28, 2017 Thread starter #16 CCM MKAMBARANI said: hafai muislam gani anaachia nywele wazi Click to expand... Acha udini
kenstar JF-Expert Member Aug 24, 2015 2,276 1,442 Jul 28, 2017 #17 Wote huwa ni wema na wazuri na wazalendo kabla hawajapata Madaraka ya kulevya. Sent using Jamii Forums mobile app
Wote huwa ni wema na wazuri na wazalendo kabla hawajapata Madaraka ya kulevya. Sent using Jamii Forums mobile app
mmh JF-Expert Member Nov 9, 2010 2,910 5,081 Jul 28, 2017 #18 nawashangaa sana kanda ya Ziwa na maziwa makuu ambao bado wako chadema. maana mlishaonyeshwa pa kwenda na lisu.
nawashangaa sana kanda ya Ziwa na maziwa makuu ambao bado wako chadema. maana mlishaonyeshwa pa kwenda na lisu.
Bob Kawari JF-Expert Member Feb 1, 2015 1,231 1,609 Jul 28, 2017 #19 Atakua mgombea mwenza wa lowasa huku bara.... Sent using Jamii Forums mobile app
Tabutupu JF-Expert Member Nov 26, 2010 13,109 18,326 Jul 28, 2017 Thread starter #20 Bob Kawari said: Atakua mgombea mwenza wa lowasa huku bara.... Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... 2020 tunampiga chini shain chadema itaanzian utawala zanzibar.
Bob Kawari said: Atakua mgombea mwenza wa lowasa huku bara.... Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... 2020 tunampiga chini shain chadema itaanzian utawala zanzibar.