johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,611
- 142,931
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amemshukia RC Chalamila wa DSM na kumtaka aache Ubabe kwani umepitwa na Wakati
Karume katoa onyo hilo kufuatia kauli ya Chalamila Kwamba Tanroads ikishinda Kesi ndani ya dakika 15 atavunja Nyumba zote bila kujali ndani kuna nini
Nawatakia Dominica njema 😄
Karume katoa onyo hilo kufuatia kauli ya Chalamila Kwamba Tanroads ikishinda Kesi ndani ya dakika 15 atavunja Nyumba zote bila kujali ndani kuna nini
Nawatakia Dominica njema 😄