Fathers Day: Uganda waonyesha njia-watoto wachanga wapimwe DNA

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,322
24,192
Wanaume kwa kweli tuna bambikwa watoto ambao wanazaliwa na wake zetu.
Bibie kapachikwa mimba huko nje na mchepuko wake mara ghafla mwanauwe unapewa malavi davi ya kufa mtu.

Huko Uganda wanaume nawapongeza, wamesituka.
Wametoa azimio ala watoto wote wanaozaliwa wapimwe DNA ili kujua kama kweli mtoto ni wa baba.

Nawaunga mkono wanaume wa Uganda.
Watanzania tuamke.
 
Huko ndo kuwaza nje ya box wanavyopendekeza hao wanaume wa Uganda, bora ulee mtoto wa mwanaume mwenzako ukiwa unajua sio wangu, kuliko mke wako akuambie nina ujauzito ujifungue, utoe malezi kumbe kuna mhuni tu wa kitaa ndo alijaza hiyo mimba, waweza jinyonga wewe baada ya kugundua kuwa sio mtoto wako.
 
Ni wapumbavu kitanda hakizai haramu swali ni moja ulilala na huyo mwanamke au hukulala? Kama ulilala naye kubali yaishe kitakachozaliwa cha kwako
 
Hii kitu ni kuiweka kwenye sheria za nchi kabisa.
Sikubaliani itazalisha Rushwa. Wanaume wakwepa majukumu ya kulea watahonga wapima DNA kukwepa wajibu ili wapimaji watoe jibu kuwa mtoto sio wake.

Hilo wazo la kijinga
 
Vifo vya ghafla vitakuwa vingi kweli, mie nashauri kabla ya kuoana kuwe na kipimo kwa ajili mbegu mme na kizazi cha mwanamke, maana unakuta mke hana shida amekaa miaka 2 holaa ni bila bila, kuchepuka tu mimba huoni kama mnafichiwa siri? Nyie tulieni mliliage vifuani tu
 
Back
Top Bottom