Fastjet ilikuwa mkombozi wa wasafiri

Ntozi

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
225
Reaction score
300
Kama serikali ipo serious na biashara huria,basi ilikuwa ni wakati mwafaka kujadiliana na Fastjet ili warudi kuendelea na biashara yao ya usafirishaji nchini.

Jamaa walikuwa smart sana na waliliteka soko vizuri sana. Bei zao affordable, na walizingatia muda kweli kweli.

Mambo ya serikali kujiingiza kwenye biashara ni mambo ya enzi za Nyerere hayo.
 
Si Lawrence Masha alishanunua kampuni. Nadhani kwa sababu ni kada wa chama itakuwa rahisi kwake kulirejesha kampuni kazini.
 
Very true. Ila Sasa watu wanaangalia maslahi binafsi
 
Kwa namna ambavyo ATCL haina plan ya biashara i guess zikija kampuni kushindanishwa yale ma dreamliner, Boeing na Airbus zita-park pale Terminal 3 hadi siku ta kihama!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…