Hii si fashion, huyu ni msanii na anafanya hivi ili kupata attention, hatimaye na bishara yake inunuliwe au kuuzika. Mbona inaeleweka tu ila kumweka na kusema eti ni fashion, that's not true. Ila pamoja na usanii wake bado anaonekana kama mwana Chalinze kama asemavyo mkuu Twilumba