Shikamoni wakubwa, wadogo malhaba!!
Huu ndyo mwonekano mpya wa mwanamuziki Vanessa Mdee. Toa koment yako juu ya uvaaji wake, je ni utandawazi au ni ushamba wangu?
hela isiwe sababu ya kufany utandauchi, huko ni kujishushia heshima na pia inawaathir wadogo zake ambao wanamwona kama role model waoπ€ coz nao ndo baadae tunapat wauza utandauchi π
Watu hawaleti hisia kwenye business. Huyu mdada katika wasanii wanaojua kujibrand bhasi anaongoza na ndio maana anapata deals zilizopo international maana anauzika pakubwa.
Haijalishi ipo right or wrong kwako lakini kwake ndio inamlipa