Unaweza kuvaa kama huyo mrembo hadharani?Huyo dada atakuwa kavaa chupi transparent. .... kama hajavaa basi hicho kipande cha nguo cha katikati kimegundishwa na vuzi za hapo kati kisicheze.....
Akili za wanaume wote waliokuwepo hapo wanatamani utokee upepo ufunue hicho kipande cha kati kati ili waone kilichofunikwa.
Ila huyo dada nj mrembo na ana shape nzuri.... anaonekana ni mdada wa Brazil huyu wenyewe wanasema Latin America.
Kasie.
Unaweza kuvaa kama huyo mrembo hadharani?
Kasie hujaleta mrejesho.. Ulimalizana vipi na kazin wako? Ulimpa?Huyo dada atakuwa kavaa chupi transparent. .... kama hajavaa basi hicho kipande cha nguo cha katikati kimegundishwa na vuzi za hapo kati kisicheze.....
Akili za wanaume wote waliokuwepo hapo wanatamani utokee upepo ufunue hicho kipande cha kati kati ili waone kilichofunikwa.
Ila huyo dada nj mrembo na ana shape nzuri.... anaonekana ni mdada wa Brazil huyu wenyewe wanasema Latin America.
Kasie.
Naweza ila itategemea na hadhira au nnapoenda ni wapi.... nitakuwa huru bila woga wala wasiwasi iwapo mahali hapo itakuwa ni executive yaani hata wanaume wataokuwa hapo ni wastaarabu yaani watakuwa wanakula kwa macho tuu sio kunishika au kunishangaa kama nimejinyea.
Pia nitakuwa comfortable nikiwa nimevaa hivo niko na mwanaume wa nguvu ambae naye atakuwa hachezi mbali nami maana atakuwa anapandisha nyeege baada ya hiyo shughuli akajilie vyake na asiwe anaona aibu kuongozana nami....
Hiyo naivaa kabisaa au mwenye kichen party zetu kina dada.
Kasie.
Hao hao executive ndo wahuni haswa.
Binamu hadi.leo yuko kimya hajajitafuta wala sijamtafuta..... sijampa na wala siwezi kumpa hata iweje. ...Kasie hujaleta mrejesho.. Ulimalizana vipi na kazin wako? Ulimpa?
Wanawake akili zao ni attention tu
Bac nipe mie...Binamu hadi.leo yuko kimya hajajitafuta wala sijamtafuta..... sijampa na wala siwezi kumpa hata iweje. ...
Kasie.