PostGE2025 Faris Buruhani: Hata iweje CCM haiwezi kutoka madarakani hadi mwisho wa dunia

PostGE2025 Faris Buruhani: Hata iweje CCM haiwezi kutoka madarakani hadi mwisho wa dunia

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amesema chama hicho kitaendelea kubaki madarakani na hakitotoka kamwe.

Akizungumza Februari 14, 2026 wakati akihojiwa na Chief Odemba kupitia kipindi cha Medani Kuu, Buruhani amesema, “Hata iweje CCM haitatoka madarakani hadi mwisho wa dunia. CCM haijatoka madarakani, haitatoka madarakani, na hata ikibidi milele CCM itaendelea kuwa madarakani.”

Aliongeza kuwa hatimiliki ya nchi ni ya Watanzania wote, lakini akasisitiza kuwa chama hicho kimebeba historia, hadhi na heshima ya taifa pamoja na waasisi wake. “CCM kimejipanga kimuundo, ndiyo maana nasema hakitaondoka leo, hakitaondoka kesho, na hata ikibidi milele hakitaondoka,”
 
HATA MABUTO NA MADIKTETA WENGINE WALIKUWA WANAAMINI HVYO.MWISHOWE WALIONDOKA KWA AIBU KUBWA
 
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amesema chama hicho kitaendelea kubaki madarakani na hakitotoka kamwe.

Akizungumza Februari 14, 2026 wakati akihojiwa na Chief Odemba kupitia kipindi cha Medani Kuu, Buruhani amesema, “Hata iweje CCM haitatoka madarakani hadi mwisho wa dunia. CCM haijatoka madarakani, haitatoka madarakani, na hata ikibidi milele CCM itaendelea kuwa madarakani.”

Aliongeza kuwa hatimiliki ya nchi ni ya Watanzania wote, lakini akasisitiza kuwa chama hicho kimebeba historia, hadhi na heshima ya taifa pamoja na waasisi wake. “CCM kimejipanga kimuundo, ndiyo maana nasema hakitaondoka leo, hakitaondoka kesho, na hata ikibidi milele hakitaondoka,”
Ole Sabaya alikuwa hivi chini ya utawawala wa Magufuli, Kwa sasa anafanya biashara ya spare za pikipiki. Zama zinabadilika
 
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amesema chama hicho kitaendelea kubaki madarakani na hakitotoka kamwe.

Akizungumza Februari 14, 2026 wakati akihojiwa na Chief Odemba kupitia kipindi cha Medani Kuu, Buruhani amesema, “Hata iweje CCM haitatoka madarakani hadi mwisho wa dunia. CCM haijatoka madarakani, haitatoka madarakani, na hata ikibidi milele CCM itaendelea kuwa madarakani.”

Aliongeza kuwa hatimiliki ya nchi ni ya Watanzania wote, lakini akasisitiza kuwa chama hicho kimebeba historia, hadhi na heshima ya taifa pamoja na waasisi wake. “CCM kimejipanga kimuundo, ndiyo maana nasema hakitaondoka leo, hakitaondoka kesho, na hata ikibidi milele hakitaondoka,”
Alijuaje wakati yeye akifika miaka 70 kama atafika ashaondoka ktk dunia hii? Huko kaburini atajua kinachotokea Tanzania?
 
MAJIZI MAFISADI hayapotayari kuachia ILAJI ,yapo tayari kuleta machafuko ,na vurugu kama KONGO ili kusudi tu waendelee KULA NCHI..MAJIZI MAFISADI hayatakuwa tayari kuachia madaraka kwa njia ya makaratasi ya kura au katiba ambayo wana ita KIJITABU...
KITU PEKEE kitakachoweza KUYAN'GOA MAFISADI NA MAJIZI NI NGUVU YA WANANCHI nguvu ya umma wala sio uchaguzi wala sio KURA,wala sio katiba..wala sio jeshi wala sio mahakama.

watu wanao onekana wanaweza kiwashawishi wananchi na kuaongoza kuwainganisha kama LISU ,mange n.k...wanaonekana kama ni watu hatari kwa ULAJI WA MAJIZI NA MAFISADI ..wanatishia kumwaga ugali wao...

maslahi ya mafisadi na majizi...ndiyo wenyewe wanayaita maslahi ya taifa na amani ya taifa..ndio amani ya majizi ja usqlama wa majizi..MAJIZI NDIYO YANAJIITA TAIFA.
 
Yuko sahihi 100%. CCM ndo imebeba matumaini ya watanzania wote akiwemo Lissu.
 
Kile kizee kilipandikiza ujinga mwingi na Sasa umeota na kukomaa haswa.

Kama hamtochapana Hadi pasikalike.
Yupo sahihi.
 
CCM mshaurini mpuuzi mwenzenu abakize maneno kuna kesho tusiyoijua wote.
 
Back
Top Bottom