PostGE2025 Faris Buruhani: CHADEMA haina ukubwa huo, sasa hivi ikitokea Msiba na kesi Mahakamani kwao wamepata mkutano

PostGE2025 Faris Buruhani: CHADEMA haina ukubwa huo, sasa hivi ikitokea Msiba na kesi Mahakamani kwao wamepata mkutano

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amesema CHADEMA haina ukubwa huo, sasa hivi kimepata Platiform kinasemea Mahakamani na Misibani, ikitokea Msiba kwao wamepata Mkutano, wakiwa na Kesi Mahakamani, wamepata mkutano.

 
Kwahiyo CCM agenda zenu za wananchi ni kuwaua sio?Mashetani wakubwa nyie.Na siku ikifika CCM ikadondoka haitaweza kuwa chama cha upinzani wala nini, kitakufa mazima na masalia wataunda vyama visivyo na maana.Wakati utafika polisi,JWTZ na TISS wakiacha kuwatumikia mtafungasha mizigo yenu wauaji wakubwa nyie(Mkalaniwe hapa duniani na maisha yenu ya baadaye)
 
Huyu hakomi tu kuropoka ropoka kwenye MEDIA??..safari hi Msamaha hautopokelewa
 
Back
Top Bottom