Nkarahacha
Member
- Oct 3, 2023
- 25
- 47
Ndg,Faris Buruhan ameshindwa katika kura za maoni Bukoba Vijijini kwa kupata kura 4619 nyuma ya mbunge aliyepo Dkt Jasson Rweikiza aliyepata kura 6465 .
mbona tena kuna uzi unasema fares kashindaNdg,Faris Buruhan ameshindwa katika kura za maoni Bukoba Vijijini kwa kupata kura 4619 nyuma ya mbunge aliyepo Dkt Jasson Rweikiza aliyepata kura 6465 .
Labda kama ameshinda njaambona tena kuna uzi unasema fares kashinda