Faris Buruhan aangukia pua kura za maoni CCM Bukoba Vijijini ,Dkt Rweikiza apeta

Faris Buruhan aangukia pua kura za maoni CCM Bukoba Vijijini ,Dkt Rweikiza apeta

Nkarahacha

Member
Joined
Oct 3, 2023
Posts
25
Reaction score
47
Ndg,Faris Buruhan ameshindwa katika kura za maoni Bukoba Vijijini kwa kupata kura 4619 nyuma ya mbunge aliyepo Dkt Jasson Rweikiza aliyepata kura 6465 .

Document 12_1.jpg
 
Back
Top Bottom