Hapa ufundi ulenge saana mazingira tuliyopo na uwezekano wa kupata azi pale mhitimu anapomaliza,.Fani zifuatazo zinafaa kwa cheti cha ftc au kwa cheti cha veta.
Umeme,uashi,ujenzi,kutengeneza computer na vifaa vingine vya electronics na uchoraji.
Kwa veta.kuna kushona nguo,kufuma,kupika,kupamba,ujenga,fundi uashi na mengine. Ni bora mtu asome kulingana na maisha ya mtanzania na kazi zinazotuzunguka na ambazo tuna uwezo wa kuzipata au kuzifanya kwa urahisi.