False hope of Reconciliation

False hope of Reconciliation

its MalekoGJ

Senior Member
Joined
Aug 27, 2020
Posts
135
Reaction score
285
Nikiwa Nasomaa kitabu Cha Baba Wa Maridhiano Afrika

Cha Desmond Tutu (1999). No Future Without Forgiveness. Doubleday Publishing.

Nimejikutaa Na Maswali Mengii mno

Je, taifa linaweza kuwa huru ikiwa mioyo ya watu wake bado imefungwa na visasi dhidi ya Dola?

Je, maridhiano ya kweli yanaweza kuwepo bila ukweli , Uwazii na uwajibikaji na Reparation?

Tanzania inapaswa kuelekea wapi kati ya retributive justice (haki ya kulipiza) Na Je Katika Malipizo tunalipa Vipii?

na restorative justice (haki ya kurejesha)? hapa Maswali ya Uhai wa Watu vipii Will you restore it

Ni kwa namna gani mchakato wa maridhiano unaweza kuwa chombo cha transitional justice Tanzania?

Ni kundi gani lina wajibu mkubwa zaidi wa kuhakikisha Watu wanaridhiana

Wazee Waliokaa Kimyaa Wakatii Haki na Uhai wa Vijana Ukiporwa ?

Viongozi wa Dini waliokua Wahubiri Neno Amanii Bila Kufundisha Na kuhimiza Hakii na kuisimamia haki??

Viongozi Wa Upinzanii Waliofungwa Magerezanii Kwa Kesi Za Uhaini na Ugaidii??

Au Chama Tawala ambachoo Wao ndo Wasimamizii Wa Hivyoo Vyomboo Vilivyotekelezaa Mauajii Ya Raia Wake Kwa Waume Na Watoto ??

Au Wanaharakatii Walioshushiwa Mzigoo Wa Lawama???

Au Wananchii walioumizwa Kwa kupoteza Nduguu na Jamaa Zao

Badoo Najiulizaa Ukuu Nikikosa Majibu

Siasa ya Maridhianoo
 
a8208bf6-d971-41a3-aa08-c02b1db9fcfb.jpeg
 
Hapo ngoma bado ni ngumu mnoo. Jana nilikuwa kijijini nikakutana na Mzee mtu mzima anasema Rais hapendwi na Kwa aliyoyafanya hata serikali yake haikubaliki aliongea mengi sana. Samia yupo kwenye wakati ngumu sana yaani mgumu kweli kweli..
 
Asante kwa andiko zuri, nimekisoma hiki kitabu cha Bishop Tutu pia.

Kuna sababu kwanini "Retributive justice" haijawahi kufanikiwa japo historia inatuambia mageuzi lazima yawe ya shuruti.

Protest and disruptions zinashurutisha na kulazimisha mageuzi (tunaweza kuchukua mfano wa South Africa na safari yao ya uhuru au recent example ya jirani zetu Kenya na safari yao ya machafuko na walivyopata katiba yao mpya).

Kama watanzania, ni muhimu kupaza sauti na kuwa clear kwamba tunachokipigania ni lazima kisikilizwe, ila baada ya hapo itahitajika strategy ya amani inayowezesha kusonga mbele na kua na mwanzo mpya.

Tukiendekeza visasi na kuamua kupambana wenyewe kwa wenyewe kwa damu na machozi basi tutapoteza na kuishia kuwa another Congo, au Somalia, au Sudan etc.
 
Hapo ngoma bado ni ngumu mnoo. Jana nilikuwa kijijini nikakutana na Mzee mtu mzima anasema Rais hapendwi na Kwa aliyoyafanya hata serikali yake haikubaliki aliongea mengi sana. Samia yupo kwenye wakati ngumu sana yaani mgumu kweli kweli..
Naam Yambidii Ku step Out .... Katibaa Mpya Then Tuendeleee
 
Back
Top Bottom