Wewe najua umebandika na kukimbia, huwezi hata tetea ulichopost. Mambo mengine potezea tuu sio lazima nawe uonekane hapo chamani ulipost thread JF ya kumponda fulani. Kuwa na fikira huru kijana, acha hizo akili za kushikiwa na kushabikia jambo.
Amka sasa,muda ndo huu amua moja.