Falsafa ya CHADEMA ni hii, ya CCM iko wapi?

Ujamaa na kujitegemea
Wakulima na wafanyakazi
Usiwe kupe

Kuna mwingine kasema, wanacheza mziku wa Juma Kilaza, wamevaa mavazi ya hipop.
 

Baba yake NaPe yaani marehemu Mzee Moses Nnauye, hakuwa msafi kihivyo, na nape amemrithi baba yake. Tujikumbushe miaka ya 80 ambapo mzee aliongoza ujumbe wa wanafunzi wa elimu ya juu kwenda ughaibuni ambapo alitokomea a allowance za wanafunzi hao. Narudia tena mzee NnaUyE hakuwa msafi.
 
enzi za mwalimu: ujamaa na kujitegemea

Siku hizi: ubinafsishaji na kujilimbilizia.
 

Hii kitu kali, Tafsiri kwa kiswahili.
 
Mabepari wa CCM wameshika hatamu, Chama chapoteza network, wamgeuza nape vuvuzela, maana hana dira
 
Mpaka sasa naona kama hata Mkama hawazi kijubu hili swali.
 


Tupe data zaidi
Hii nayo ni neno.
 

Hakuna falsafa yoyote hapo! hizo ni gear ya kuingilia Ikulu, baada ya hapo hamna pombe itakayoitwa pipoz pawa! hebu onyesheni kwenye sayari hii iitwayo dunia nchi inayoongozwa kwa Pipoz pawa, dunia nzima ni "rule of law and order!, period" hiyo ni gear aliyotumia Adolf Hitler pamoja na baadhi ya mafashisti kama musolin na stallin! so acheni kudanganya watu! hakuna nchi inayoongozwa hivyo hata wa-communist hawapo hivyo siku hizi wala sijui mna-copy wapi pombe hizi, stop dreaming and wake up!
 

Kama sheria zinazoiongoza nchi zimetokana na wananchi wenyewe ktk mazingira huru,I don't exactly see the difference btn the rule of law and people's power!!!
 
"Nguvu na Mamlaka ya Umma” (The People’s Power) ni matumizi ya nguvu ya umma katika jitihada za kuiondoa serikali halali iliyoko madarakani kinyume na taratibu zilizowekwa kikatiba za kidemokrasia. Kauli hii ina kila dalili ya uchochezi. Ingawa mimi si muumini wa nyinyiemu, vilevile siungi sana mkono kauli kama hizi. Hivyo ningependa kutoa ushauri wa bure kwa wadau wa kauli hii waiache, waje na song nyingine, pia iwe tofauti na m4c.
 

Wewe una matatizo ya uelewa. Hebu nitafsirie maana ya democracy.
 
Nguvu ya Umma haina Chama na haifungamani na Chama chochote! Nguvu ya Umma ina uwezo wa kuingiza chama madarakani na ina uwezo wa kukiondoa Chama madarakani! Vyama vitapita lakini Nguvu ya Umma itabaki pale pale! Zambia mfano Mzuri vyama vimepita lakini nguvu ya umma imebaki pale pale,Misri utawala wa Hosni Mubarak umepita na Nguvu ya Umma imeweka Uongozi mwingine,Ufaransa Sakoz ameondoka Nguvu ya Umma imeweka Hollande awe Rais! Hakuna anaye weza kuwa mshirika au mmiliki wa nguvu ya Umma!
 
Wewe una matatizo ya uelewa. Hebu nitafsirie maana ya democracy.
Mkuu, nakushukuru kwa kuona matatizo yangu ya uelewa, ingawa nilikutegemea kama great thinker uje na ufumbuzi wa tatizo langu na siyo "attacking." Mimi naamini tuko pamoja katika msimamo, ingawa tunaweza kutofautiana katika mawazo. Hivyo njia mwafaka, siamini kuwa ni kujihami kwa ku-attack, bali kueleweshana kwa upole pale mawazo yanapohitilafiana. "MUNGU AKUBARIKI SANA"
 

Namuombea samahani sana kwa kukuumiza, sikupenda iwe hivyo naye kakubali, ila ailitaka ufikirie kuhusu neno demo-cracy halafu umma na nguvu yake. Narudia anaomba samahani kwa kukuofend.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…