Falling in love...

Slow down Missy....SLOW DOWN!!
Safari hata haijapangwa wala kuanza ushapanga destination?!Acha hizo...

Hahaha...unachagua yule ambae unaona anakupendeza zaidi kwa kila jambo.

..

Lazima nijue naenda wapi (destination )
Kabla hatuja panga safari ..

Duhhhh wote wazuri kwa njia zao aise ..
na wote wamenifia fia na kunizimikia Kia mtoto wa geti Kali ..
 
panga haraka bana
nataka kuona final destination mie

Slow down Missy....SLOW DOWN!!
Safari hata haijapangwa wala kuanza ushapanga destination?!Acha hizo...

Hahaha...unachagua yule ambae unaona anakupendeza zaidi kwa kila jambo.

..
 
the more we know about love the more we get confused and disappointed coz love relates to human beings who are themselves too complicated and their intentions too incomprehensible to be properly deciphered
 
Hahaha si unajua kama unakula pili pili kichaa lazima zikuwashe..Kuna tofouti moja hapa mimi napo sema kuonyesha sio una act nakusudia unaonyesha unampenda kwa dhati yani unapenda nasio una act.
..Tatizo lako kiswahili hujui Lizzy ndo mana nakakuliza umesomea wapi kiswahili....nasema kajifunza kuongea slang tu za kiswahili lugha ya kiswahili ngumu kwako.
 
Lazima nijue naenda wapi (destination )
Kabla hatuja panga safari ..

Duhhhh wote wazuri kwa njia zao aise ..
na wote wamenifia fia na kunizimikia Kia mtoto wa geti Kali ..

Kwanza tujue nauli yetu kiasi gani na chombo cha safari kama ni confortable au ni kama zile kona na milima ya kuelekea Hydom roho juu juu...lolz

Walete niwatathimini...i'm sure I can figure out which one 'll suit you better.
 
Sasa utamuonyeshaje badala ya KUACT kama humpendi?!
 

Kwakipengele hicho tu mimi tayari nakuwa nasikia raha isiyokifani na ufikia kuona kinywa chake kama chakwangu au zaidi ya cha kwangu na utamani ulimiwake ukae huko masaa yote kwenye kinywa chake!!Love is something very special which need care,tension!!
 
Daah LIZZY noouuma..nakukubali yan..thread zako zinahusika kichiz.thanks for that!
 
ubarikio mbona shereha kubwa sana ya kutoa na kadi ya michango

nilidhani ni besidei ya friji kutimiza mwezi mmoja.
Ubarikio, tunaita na mgeni rasmi

Konnie ubarikio nao unataka uwe na floor manager?!
 
14. USIJARIBU na kama tayari ACHA kumlinganisha na wanaume/wanawake wengine unaowafahamu/kutana nao unless yeye unamuweka juu. Kama hao wengine unawaona bora sana utaishia kumuona wako si lolote...si chochote.

mkifikishana hatua hii ujue ........it is all over........................you need to rebuild the broken home..........
 

Hahahah...asante KK.
Mguso wake, busu lake, uwepo wake, ukaribu wake ukiwa kama kipashajoto kwako ndio raha yenyewe....sema kuifanya hiyo hali idumu sasa.
 
ubarikio mbona shereha kubwa sana ya kutoa na kadi ya michango

nilidhani ni besidei ya friji kutimiza mwezi mmoja.
Ubarikio, tunaita na mgeni rasmi
Hhahahaha ..zawadi sofa..kitanda na godoro.Mambo ya khanga khanga na madaftari yamepitwa na wakati.
 
Halafu huyu Lizzy huyu! Da!!!, sijui mwalimu?
Kwani Lizzy unafundisha wapi?
 
mkifikishana hatua hii ujue ........it is all over........................you need to rebuild the broken home..........

Watu wanafanya sana...
Wengine kiuwazi na wengine kisirisiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…