Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,328
Kumbe sio wachezaji wa kiafrika tu hasa wa West Africa wanaodanganya umri, kina Okocha, Essien, Taribo West, Martins et al.
Moja kati ya washambuliaji wakali zaidi katika ulimwengu wa soccer bwana Ramadel Falcao inasemekana kadanganya umri.
Hii ni kutokana na documents za shule ya msingi aliyosoma huko kwao Colombia zinazoonesha kuwa jamaa alizaliwa 10/02/1984 hivyo kumfanya kuwa na umri wa miaka 29 na sio umri wake ambao ndio official wa miaka 27.
Hii inaweza kuelezea kwanini jamaa kaamua kwenda Monaco kuvuta pesa ndefu na kukacha club kubwa kama Madrid au Chelsea. Moyoni mwake anajijua kuwa tayari maji ya jioni so kamuua kuvuta tu mpunga before its too late!
Kwa habari zaidi chungulia hapa
http://www.dailymail.co.uk/sport/fo...-suggest-Monacos-53million-striker-29-27.html
Moja kati ya washambuliaji wakali zaidi katika ulimwengu wa soccer bwana Ramadel Falcao inasemekana kadanganya umri.
Hii ni kutokana na documents za shule ya msingi aliyosoma huko kwao Colombia zinazoonesha kuwa jamaa alizaliwa 10/02/1984 hivyo kumfanya kuwa na umri wa miaka 29 na sio umri wake ambao ndio official wa miaka 27.
Hii inaweza kuelezea kwanini jamaa kaamua kwenda Monaco kuvuta pesa ndefu na kukacha club kubwa kama Madrid au Chelsea. Moyoni mwake anajijua kuwa tayari maji ya jioni so kamuua kuvuta tu mpunga before its too late!
Kwa habari zaidi chungulia hapa
http://www.dailymail.co.uk/sport/fo...-suggest-Monacos-53million-striker-29-27.html