peter kasanga
Member
- Jun 1, 2017
- 49
- 9
Je nifakati gani ambazo mtu wa PCB anaweza kusoma na akapata ajira kiulahisi
Hawa tukonao kitaa wanatupiga mizinga
basi hawajui kuitumia elimu yao kijiingizia kipato kwA sababu ukisoma md unakuwA na fursa nyingi sana za kufanya sema wAmekalili kuajiriwa tu na hii kitu ndo inayoathiri taifa kwA ujumla watu kuitegemea serikali na sio serikali kutegemea watuHawa tukonao kitaa wanatupiga mizinga
Mambo yamebadilika saa hivi
Ndo fakati zip izo ambazo PCB anaweza kusoma tofaut na MD na nursing, na phamacy afu ajila waz wazbasi hawajui kuitumia elimu yao kijiingizia kipato kwA sababu ukisoma md unakuwA na fursa nyingi sana za kufanya sema wAmekalili kuajiriwa tu na hii kitu ndo inayoathiri taifa kwA ujumla watu kuitegemea serikali na sio serikali kutegemea watu
izo fakati za afya ndo nazosemea zina deal sana ila uwe mjanja kuzichangamkia na pia uwe unajua kujiongeza tu afu ma MD WEngi ni wazuri kweny theory na sio pratcal hamna kitu kabisa wanazidiwA na watu wa clinical medicineNdo fakati zip izo ambazo PCB anaweza kusoma tofaut na MD na nursing, na phamacy afu ajila waz waz
Soma Medical Lab Science bro utanikumbukaNdo fakati zip izo ambazo PCB anaweza kusoma tofaut na MD na nursing, na phamacy afu ajila waz waz
Nakuunga mkono 90%izo fakati za afya ndo nazosemea zina deal sana ila uwe mjanja kuzichangamkia na pia uwe unajua kujiongeza tu afu ma MD WEngi ni wazuri kweny theory na sio pratcal hamna kitu kabisa wanazidiwA na watu wa clinical medicine
Tumia neno course/kozi na siyo fakati. Faculty maana yake ni kama idara ya chuo husika. Ukisema fakati ni sawa unasema "idara gani mtu wa pcb anaweza kusoma". Chuoni zipo faculty of law, faculty of medicine au school of medicine ; faculty of IT na n.kJe nifakati gani ambazo mtu wa PCB anaweza kusoma na akapata ajira kiulahisi
Kwanza tuanze na lugha sahihi. Wengi husema ni kozi gani mtu anataka kusoma. Kiswahili sahihi ni programu gani mtu anataka kusoma-kwani ndani ya program ndio kuna kozi tofauti ambazo lazima uzisome (core) na nyingine ambazo unachagua (electives) ili utimize matakwa ya programu upate digrii yako.Je nifakati gani ambazo mtu wa PCB anaweza kusoma na akapata ajira kiulahisi
Kama unataka kuandika kiswahili andika kiswahili tu sasa "fakati" ndio nini?Je nifakati gani ambazo mtu wa PCB anaweza kusoma na akapata ajira kiulahisi