Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
safi saaaanaMi ningekua na chupi kama 400 hivi lakini zote za "mchezaji" mmoja.
Mi ningekua na chupi kama 400 hivi lakini zote za "mchezaji" mmoja.
hehehe!Idadi ni ile ile ulizo nazo, kwa sababu wewe unachukua na hapo hapo unatoa yako, unless uniambie kwamba mmoja wenu hakuja na "jezi" kabisa, hapo mwenye jezi ataloose bila kugain
Naona alikuwa anamaanishamechi za mchangani. Zile za Old Trafford kunakuwa hakuna jezi.well jezi za nini mechi ya 6 kwa six?
Naona alikuwa anamaanishamechi za mchangani. Zile za Old Trafford kunakuwa hakuna jezi.
Unategemea, mwenye mechi kama 800 hivi atasema? hapa naona hakuna fair play ya kujibu.Wadau, ikiwa katika mpira wa miguu kila mechi inapoisha huwa kuna kubadilishana jezi kuonesha "FAIR PLAY".... Je, kama kungekuwa na fair play ya kubadilishana chupi mara baada ya tendo la ndoa ungekuwa na chupi ngapi?
Feel free to answer...
wadau toka utotoni duh bt i thnk tuanzie miaka 18 maana zile gemu za utoton twacheza kibababa na kimamama au tuziesabu nazo itakuwa baraha maana ilikuwa mkijificha tuu mamboz yanaanza
hata watoto si huvaaga chuxxxx? we hata kama Mlianza wakati mmevaa nepi poa tu peleka hesabu kwa mpogole.wadau toka utotoni duh bt i thnk tuanzie miaka 18 maana zile gemu za utoton twacheza kibababa na kimamama au tuziesabu nazo itakuwa baraha maana ilikuwa mkijificha tuu mamboz yanaanza
Wadau, ikiwa katika mpira wa miguu kila mechi inapoisha huwa kuna kubadilishana jezi kuonesha "FAIR PLAY".... Je, kama kungekuwa na fair play ya kubadilishana chupi mara baada ya tendo la ndoa ungekuwa na chupi ngapi?
Feel free to answer...
Jamani acheni hizo wengine umri wetu bado