atmkalz
Member
- Jul 23, 2013
- 28
- 27
Habari WanaJF..
Natumaini wote wazima wa afya.
Nina swali moja kuhusu kikosi cha usalama barabarani,kwa jina maarufu,traffic polisi.
Hivi,ni kwanini dereva akisimamishwa na traffic kwa makosa tofauti tofauti,gari ndo inaandikishwa fine na sio dereva anae endesha hilo gari?... kwani gari imefanya kosa au dereva?.. ninavyofahamu ni kwamba dereva ndo anaefanya makosa na sio gari.
Unakuta mtu hajasimama kwenye zebra crossing au hajafunga mkanda,traffic anamsimamisha na kuandikia gari faini na sio dereva...1
Kwanini asiandikiwe au apunguziwe points kwenye leseni yake badala ya gari kuwa na deni..? Kuna haja gani ya dereva kuwa na leseni kama haina kazi..bali inabaki kuwa thibitisho kuwa mwenye nayo ni dereva..
Naomba ufafanuzi tafadhali kwa hili.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumaini wote wazima wa afya.
Nina swali moja kuhusu kikosi cha usalama barabarani,kwa jina maarufu,traffic polisi.
Hivi,ni kwanini dereva akisimamishwa na traffic kwa makosa tofauti tofauti,gari ndo inaandikishwa fine na sio dereva anae endesha hilo gari?... kwani gari imefanya kosa au dereva?.. ninavyofahamu ni kwamba dereva ndo anaefanya makosa na sio gari.
Unakuta mtu hajasimama kwenye zebra crossing au hajafunga mkanda,traffic anamsimamisha na kuandikia gari faini na sio dereva...1
Kwanini asiandikiwe au apunguziwe points kwenye leseni yake badala ya gari kuwa na deni..? Kuna haja gani ya dereva kuwa na leseni kama haina kazi..bali inabaki kuwa thibitisho kuwa mwenye nayo ni dereva..
Naomba ufafanuzi tafadhali kwa hili.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app