Habari za jioni wana JF, kwa mpigo mwisho juma umeanza Mungu atuvushe salama.
Nianze moja kwa moja somo adhabu za barabarani haziwezi kuendesha nchi zinawachafua tu polisi wetu na kutuwekea uhasama nao ni unyang'anyi usio na sababu.
Nchi hii itaendeshwa kwa miradi mikubwa kama chuma cha mchuchuma, chuma cha liganga, chuma cha pua. gesi Rukwa, shaba Dodoma - Kigoma, mpira Arusha, uranga Morogoro, makaa ya mawe Songea, ureniamu Songea nk.
Tumeshindwa kufikiri tu jinsi ya kuanza tunawaza kunyang'anyana vishilingi 30000 eti hujafunga mkandarasi, umevuka zebra bila kusimamia, umepita taa nyekundu kila kitu FAINI tu huo ni ushamba tu mshaurini mkuu aangalie hivyo vitu havijaguswa na mabeberu aanzie hapo atafikia malengo.
"FEDHA SIO MSINGI WA MAENDELEO" - FEDHA NI MATOKEO YA MAENDELEO. Acheni dhuruma
Nianze moja kwa moja somo adhabu za barabarani haziwezi kuendesha nchi zinawachafua tu polisi wetu na kutuwekea uhasama nao ni unyang'anyi usio na sababu.
Nchi hii itaendeshwa kwa miradi mikubwa kama chuma cha mchuchuma, chuma cha liganga, chuma cha pua. gesi Rukwa, shaba Dodoma - Kigoma, mpira Arusha, uranga Morogoro, makaa ya mawe Songea, ureniamu Songea nk.
Tumeshindwa kufikiri tu jinsi ya kuanza tunawaza kunyang'anyana vishilingi 30000 eti hujafunga mkandarasi, umevuka zebra bila kusimamia, umepita taa nyekundu kila kitu FAINI tu huo ni ushamba tu mshaurini mkuu aangalie hivyo vitu havijaguswa na mabeberu aanzie hapo atafikia malengo.
"FEDHA SIO MSINGI WA MAENDELEO" - FEDHA NI MATOKEO YA MAENDELEO. Acheni dhuruma