Halafu Liverpool ilikuwa na wachezaji wa kawaida sana sema tu walikuwa wanajituma sana. Beki ya kati ya Hypia na Djimi Traore duuh ilikuwa full maboko.
Halafu Liverpool ilikuwa na wachezaji wa kawaida sana sema tu walikuwa wanajituma sana. Beki ya kati ya Hypia na Djimi Traore duuh ilikuwa full maboko.
Siku hiyo nilikuwa na pressure balaa,ilibidi nizime TV zile dakika za mwisho,nilikosa kabisa ujasiri wa kuhimili zile dk za mwisho kutizama.Chelsea fans acha tule bata tu kwakweli