Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,489
- 70,276
Ilibidi Christiano acheze beki maana msako ulikuwa mkali sana. Messi alifunga header moja mpaka unajiuliza haka kaa andunje kamerukaje kupiga kile kichwa?Ile ya Manu vs Barcelona mpaka Sir Alex akaanza kutetemeka mikono.