Faida za Parachichi katika mwili wa Binadamu


ukweli ni kwamba hili tunda linasaidia kwa mambo mengi. kwa kuongeza nguvu za kiume liko juu haswa
 
Dr.Masmarc wa nchini Urusi pamoja na madaktari bingwa kutoka nchini Brazil wakishirikiana na watafiti kutoka chuo cha Havard wamethibitisha kwamba watu wenye VVU wanaweza kuishi hadi miaka 50 na ugonjwa wa Ukimwi endapo tu watatilia mkazo unywaji wa juisi ya parachichi angalau lita 3 kwa siku.

Aidha katika ripoti hiyo iliyochapishwa kwenye jarida la
THE HEALTH FORUM imeripotiwa kuwa matumizi ya ARV hayafai kwa mwili wa binadamu kwa kuwa vidonde hivyo vina kemikali sana na nchi nyingi hasa kusini mwa jangwa la sahara ARV hazijaweza kusaidia wananchi wa kipato cha chini.
 

hoax! urusi/brazil????????????????? Science wameitoa wapi
 
Hee!! hii sasa kali.... ngoja nianze kupanda miche ya maparachichi bustanini kwangu!!
 
JE? WAZIJUA FAIDA ZA KUSHANGAZA ZA KUTUMIA ZA KUTUMIA UNGA WA MBEGU ZA PARACHICHI? SI WAKATI WA KUTUPA MBEGU ZA PARACHICHI TENA.
 
Kule kwetu upareni nilikua naona watu wananyang'anyana parachichi na mbwa ikidondoka toka mtini.
Mi spendi vitu visivyo na ladha kama parachichi na ugali pia,ukiulizwa ladha ya parachichi au ugali ni ipi utasemaje?
 
Parachichi la moshi nalikubali sana
Maparachichi ni mazuri haswaa nkipiga na wali au kande..muda mwingine pia sharubati yake ni ya ukweli nikiinywa najisikia poa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…